Nrangoo
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 3,423
- 5,483
Nimekuelewa sana mkuu, tatizo gauge hiyo, ungejipinda kidogo walau upate gauge 30 . hizo ukizochukua wewe ni very light wanazitumia sana sites kuweka boundary siyo kupaulia nyumba. anyway uwezo wako ndipo ulipoishia nakupa Hongera.18,500sh ni bei ya bati la geji 30 kwa Singida lakini.