Kwamba vingine vyote vya Jiwe hawakuviona vinafaa kuigwa wameiga kuteka tu,
Tufanye hivi jiwe aliteka na kuua lkn matumizi ya pesa ya kodi yetu yalionekana
Vp hawa waliopo sasa nje na kuiga kuteka na kuua wamefanya nini cha maana?
NI kweli kabisa, sema angekuwa raia wa Korea pia asinge pata vitu vya kuisema serikali yake
Korea sio ya kufanya vinavyofanywa na serikali ya Tanzania mda huu huwezi kukopa pesa zote hizo na bado miradi haiendi
Dar barabara zimefumuliwa kitambo sana mpaka leo hazijakamilika, ujenzi wa SGR...
Kupitia hapa nitaeleza kila kitu kuhusu Dodoma, picha linaanza kama fundi rangi nimekabidhiwa kufanya finishing jengo moja Chamwino
Aiseee msiichukulie simple Dodoma uchawi upo, ni nyumba ya brother mmoja kutoka Mbeya (Ngoja nimpe jina, naomba tumuite brother Imma)
Huyu Imma bwana kajenga...
WANAOPENDA SANA MAHABA
Kuna jamiii ziliwafundisha/zinafundisha wanawake au watoto wa kike kumlea mme, hapa wapo kutoka mikoa ya Tanga, Tabora, Pwani na baadhi ya maeneo mwambao wote wa pwani ya bahari ya hindi
Jamii ya watu hawa wamefundwa haswa kulea mme ukioa huko kwenye hiyo mikoa utapewa...
Akishirikiana na dola mda wake wa kuishi duniani utaongezwa? Ama unavyodhani wewe Lissu ana njaa?
Kumbuka maisha ni kupita tu hakuna ataebaki, sisi sote tutaondoka
Kitu bora ni kuitumikia karama yako (talanta) maana hii hutoka kwa Mungu muumba mwenyewe na usipoitumia utadaiwa
Mwache Lissu...
Nikikaaa vzr nitachangia ama nitaabzisha uzi mwingine na nitaunga uzi wako mkuu
Kuna vingi sana kuhusu Uungu havijazungumziwa labda kwa sababu ya ubinafsi ama dhuruma tu za watu kutaka wengine wasivijue
Polepole hajamshambulia mtu, yeye ametoa hoja kuwa mchakato wa upatikanaji wa mgombea wa CCM ulikosewa
Haukufuata katiba na taratibu za chama, lkn badala yake watu wanaomjibu wamejikita kumzungumzia mtoa hoja
Kwa Gwajima vile vile alitoa hoja kuhusu utekwaji wa watu, watu wanapotea lkn...
Rekebisha kwanza hapo hakuna kitu kinaitwa awamu ya sita, hii ni awamu ya tano (mhula wa pili)
Serikali hii iliingia madarakani kwa kuchaguliwa na wananchi october 2020, ukienda kule CCM hata ilani ya huu mhula ni ile ilonadiwa na JPM akiwa ni mgombea, SSH akiwa mgombea mwenza
Ikatokea...
Kwamba nyie mlitaka watu wasifanye kazi kisa kuna hali mbaya ya hewa, achana na hii ya hapa kwetu vp kule Sudan na DRC kwenye vita watu wamekaa tu wakisubiri vita viishe ndo waendelee na maisha sio?
Kipi kipimo cha kuwa raia hawajari kinachoendelea?
Endeleeni kumpa ushauri huo, inawezakana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.