Recent content by livinstonne

  1. livinstonne

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Bodaboda wachoma gari(SUV) Arusha

    Nimepita hilo eneo ni kwenye kona ya Elerai kweli kuna gari limeungua nahisi ni Toyota harrier Post sent using JamiiForums mobile app
  2. livinstonne

    JamiiForums Tanzania Autocom Japan Inc- Niulize chochote kuhusu used car from Japan

    Aisee nilinunua gari Toyota Rush auto keyless bahati mbaya nilipewa kile kibox cha alarm kimoja badala ya kuwa viwili je ntapataje kingine cha pili maana ni muhimu sana. Msaada
  3. livinstonne

    JamiiForums Tanzania Nissani Murano

    Cc ngapi na mwaka gani
  4. livinstonne

    JamiiForums Tanzania Jenga na Sisi Dragon Mabati

    Niko arusha inakuwaje gauge 30 mt 3
  5. livinstonne

    JamiiForums Tanzania Tecno Cx Brand New (mpya) zinauzwa kwa bei nafuu.

    Ina front flash na camera ya px ngapi
  6. livinstonne

    JamiiForums Tanzania Smart phone lenovo s850 used,,, for 120K

    Nahitaji hiyo niko arusha
  7. livinstonne

    JamiiForums Tanzania King'amuzi cha Continental kimeshuka bei hadi 36,000/-. Nina maswali

    Mi nahitaji azam kama ni bei poa
  8. livinstonne

    JamiiForums Tanzania King'amuzi cha Continental kimeshuka bei hadi 36,000/-. Nina maswali

    Mi nahitaji cha azam
  9. livinstonne

    JamiiForums Tanzania King'amuzi cha Continental kimeshuka bei hadi 36,000/-. Nina maswali

    Ninacho sio kizuri kbs chukua azam
  10. livinstonne

    JamiiForums Tanzania Eneo la Oysterbay Police lauzwa kwa mwekezaji!

    Nyerere alisema mkianza ubinafshaji hata magereza mtabinafsisha sasa mmeanza na police mhh
  11. livinstonne

    JamiiForums Tanzania JK katumia akili za mbayumbayu hakuchanganya na zake!!!

    bora liende mpaka 2015
  12. livinstonne

    JamiiForums Tanzania Waziri Maige na nyumba ya Sh milioni 656m

    Sio kweli labda kama unauza unga,.ni mmoja wapo au kakutuma
  13. livinstonne

    JamiiForums Tanzania Waziri Maige na nyumba ya Sh milioni 656m

    du tunaibiwa sana nchi hii.ukweli huwezi kuwa na semitrailer mbili upate dola elfu ishirini faida kwa mwezi ni uongo na kuficha wizi ulifanyika sisi tuko kwenye hiyo biashara kwa muda mrefu sasa tunajua ugumu wa hiyo biashara.labda kama anasafirisha pembe za ndovu.mhh hana breakdown.Kuhusu...
  14. livinstonne

    JamiiForums Tanzania Tamko la Serikali

    hana lolote anajipendekeza apate tena uwaziri
Back
Top Bottom