Recent content by Livingson1

  1. Livingson1

    Bei za gesi zipungue ili matumizi ya mkaa yapungue

    Kushuka kwa bei za gesi asilia kutaongeza matumizi ya gesi asilia hivyo kupunguza matumizi ya mkaa ama mkaa usitumike kabisa. Hii ni njia mojawapo ya kutunza mazingira yetu. Hii itapunguza kukata miti hovyo na kutunza uoto wa asili Kuwa na hali ya hewa safi kwa vile miti hutumia hewa chafu...
  2. Livingson1

    Ni wakati sasa Serikali ianzishe sheria na elimu kuzuia kutupa taka hovyo

    Utupaji wa taka hovyo ni changamoto za utunzaji wa mazingira, Serikali na wadau mbali mbali wanaweza kutoa elimu juu ya utunzaji wa mazingira. Kuanzisha sheria itakayopinga utupaji wa taka hovyo, Kutengeneza dustbin kubwa na kuziweka kwenye maeneo yenye mikusanyiko ya watu kisha zikijaa...
  3. Livingson1

    Biashara ndogo za chakula zinazoweza kuanzishwa kwa mtaji mdogo kabisa

    Inategemea la umeme linaanzia laki tatu na nusu la gesi kuanzia laki 3 na tisini
  4. Livingson1

    Biashara ndogo za chakula zinazoweza kuanzishwa kwa mtaji mdogo kabisa

    1 Chipsi. Mtaji ni mdogo hapa unaeza anza na ndoo moja ya viazi, mafuta lita 2 vyombo vya kupikia na vyombo vya kuuzia bila kisahau genge ama banda la kupikia na kuuzia. 2 Sambusa. Mapishi ya sambusa pia ni biashara nyingine isiyohitaji mtaji mkubwa. 3 Maandazi. Biashara ya kuuza mandazi...
  5. Livingson1

    Hivi nyara za serikali ni nini!? Au ni zipi?

    Toa mifano ya kueleweka! Je nguzo za umeme ni mali asili!?
  6. Livingson1

    Hivi nyara za serikali ni nini!? Au ni zipi?

    Na nyara za serikali ni zipi au ni nini!?
  7. Livingson1

    Hivi nyara za serikali ni nini!? Au ni zipi?

    Naomba kuelewa kidogo kuhusu nyara za serikali
  8. Livingson1

    Aina za ujasiriamali zinazoweza kumtoa kijana kimaisha

    Na usipofanya utabaki kusimuliwa eryday
Back
Top Bottom