Recent content by LiveAndDirect

  1. LiveAndDirect

    JamiiForums Tanzania Nafikiria kuhama Catholic

    💪
  2. LiveAndDirect

    JamiiForums Tanzania Sio kweli kwamba Mh Mbowe alikuwa aking'ang'ania CHADEMA kwasababu ya Maslahi

    Alishakanusha madai ya Lisu ya maridhiano feki mkuu, so ukweli ukisemwa ni fujo? Labda useme alikosea kusema mapungufu ya mwenyekiti hadharani wakati kuna kamati za chama .
  3. LiveAndDirect

    JamiiForums Tanzania Sio kweli kwamba Mh Mbowe alikuwa aking'ang'ania CHADEMA kwasababu ya Maslahi

    Mbona alimshukuru Mbowe kwa sehemu yake aliyofanya ila alikataa siasa za udalali na maridhiano feki yaliyokua yanabaraka za MBOWE , sasa hizo ni fujo?
  4. LiveAndDirect

    JamiiForums Tanzania Gen Z rekebisheni mikakati yenu. Mnakosea katika maeneo haya…

    Mikakati yako inamchango gani katika kuleta HAKI ndani ya taifa hili ?.
  5. LiveAndDirect

    JamiiForums Tanzania Kamalizwa na nduguye

    Mbona kasema tu utekaji hapana kwa nafasi yake kama binadamu mwenye akili,roho na mwili na nafasi ,uhusiano hapo na kuvimbiwa uko wapi ?
  6. LiveAndDirect

    JamiiForums Tanzania Sio kweli kwamba Mh Mbowe alikuwa aking'ang'ania CHADEMA kwasababu ya Maslahi

    We Lisu kafanya fujo zipi ?
  7. LiveAndDirect

    JamiiForums Tanzania Kamalizwa na nduguye

    Sadaka zinatolewa ili padri ale vizuri, ashibe na akemee uovu popote pale unapotendeka,unapofikiriwa na unapopangwa kwa maslahi mapana ya roho za binadamu zenye utambuzi wa MUNGU ndani yao.
  8. LiveAndDirect

    JamiiForums Tanzania Picha kubwa kwa kinachoendelea Tanzania

    Tufungamane na MUNGU kwanza
Back
Top Bottom