Recent content by livafan

  1. livafan

    JamiiForums Tanzania Taa za kisasa

    Fanya hivi, zima hiyo taa inayozimulikia hizo taa ili tuone Mwanga halisi wa hizo taa
  2. livafan

    JamiiForums Tanzania Maxence Melo: Ofisi za JamiiForums, Mikocheni 'zimevamiwa'

    Mkuu x unawezaje kui access, tupeane mbinu. Binafsi kabla ya hiyo platform kupigwa pin hapa bongo nilikuw naitumia badae simu ikaharibika nakuja kubadili simu niinstall it was too late for me, ku install haifunguki 😁
  3. livafan

    JamiiForums Tanzania Maxence Melo: Ofisi za JamiiForums, Mikocheni 'zimevamiwa'

    Huu usengerema ifike mahara ukome. Mwenye hata ka picha hakuna, camera footage hazijanasa haya majangiri wasaka roho za watu
  4. livafan

    JamiiForums Tanzania PAYPAL ACCOUNT

    Weka utaratibu tu apa mkuu, dm kufanya nini tena
  5. livafan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dah! Wife umenivunja moyo aisee na siamin!!

    Wewe ndio kibuD
  6. livafan

    JamiiForums Tanzania Tanzania kupokea Chanjo ya Ukimwi Mwakani 2026

    Mama anaupiga Mwingi
  7. livafan

    JamiiForums Tanzania Hii Tanzania maneno yangekuwa mengi sana; Waislamu wataka Msikiti ujengwe Ikulu

    Achaneni na DINI, Mwaminini Mungu inatosha
  8. livafan

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Kuna manzi naona yupo mtingoni muda huu 😃😃😃😃
  9. livafan

    JamiiForums Tanzania Watu wanasali, mabomu yanalia. Je, kuna uhuru wa kuabudu?

    Acha umbumbumbu wewe, Kasome vizuri katiba, kila mtu ana uhuru wa kuabudu atakavyo yeye, sio aige kama unavyoabudu wewe
  10. livafan

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa CCM wa Jimbo lililoko shule hii ,ninaomba Kamati Kuu ya CCM Taifa isimpitishe kugombea ubunge 2025-2030

    Huo ni utalii, acha kuharibu, hiyo ni sehemu na chanzo ya mapato wazungu huja kushangaa 🎶🎶🎶
  11. livafan

    JamiiForums Tanzania SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Kuna muhuni huko anasema kuwa mkuu wa shirika la Mossad ni David barnea, na Huyu Shin bet ni wa wapi tena?
  12. livafan

    JamiiForums Tanzania Iran yaweza kuishambulia Marekani ndani ya muda wa siku mbili kuanzia leo Reuters

    Anakusikia 😂😂😂
  13. livafan

    JamiiForums Tanzania Iran imerusha makombora kwenye base za USA za Qatar na Iraq

    Pumba
Back
Top Bottom