Recent content by livafan

  1. livafan

    Taa za kisasa

    Fanya hivi, zima hiyo taa inayozimulikia hizo taa ili tuone Mwanga halisi wa hizo taa
  2. livafan

    Maxence Melo: Ofisi za JamiiForums, Mikocheni 'zimevamiwa'

    Mkuu x unawezaje kui access, tupeane mbinu. Binafsi kabla ya hiyo platform kupigwa pin hapa bongo nilikuw naitumia badae simu ikaharibika nakuja kubadili simu niinstall it was too late for me, ku install haifunguki 😁
  3. livafan

    Maxence Melo: Ofisi za JamiiForums, Mikocheni 'zimevamiwa'

    Huu usengerema ifike mahara ukome. Mwenye hata ka picha hakuna, camera footage hazijanasa haya majangiri wasaka roho za watu
  4. livafan

    PAYPAL ACCOUNT

    Weka utaratibu tu apa mkuu, dm kufanya nini tena
  5. livafan

    Tanzania kupokea Chanjo ya Ukimwi Mwakani 2026

    Mama anaupiga Mwingi
  6. livafan

    Hii Tanzania maneno yangekuwa mengi sana; Waislamu wataka Msikiti ujengwe Ikulu

    Achaneni na DINI, Mwaminini Mungu inatosha
  7. livafan

    JamiiForums Usiku wa manane

    Kuna manzi naona yupo mtingoni muda huu 😃😃😃😃
  8. livafan

    Watu wanasali, mabomu yanalia. Je, kuna uhuru wa kuabudu?

    Acha umbumbumbu wewe, Kasome vizuri katiba, kila mtu ana uhuru wa kuabudu atakavyo yeye, sio aige kama unavyoabudu wewe
  9. livafan

    Mbunge wa CCM wa Jimbo lililoko shule hii ,ninaomba Kamati Kuu ya CCM Taifa isimpitishe kugombea ubunge 2025-2030

    Huo ni utalii, acha kuharibu, hiyo ni sehemu na chanzo ya mapato wazungu huja kushangaa 🎶🎶🎶
  10. livafan

    SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Kuna muhuni huko anasema kuwa mkuu wa shirika la Mossad ni David barnea, na Huyu Shin bet ni wa wapi tena?
Back
Top Bottom