Recent content by little master

  1. little master

    JamiiForums Tanzania Je.? una kisa kama hiki..?

    Zilongwa mbali zitendwa mbali, Shamba la bwana kheri na mbuzi wa bwana kheri.
  2. little master

    JamiiForums Tanzania Uzinzi Unaua Akili Yako. Acha Uzinzi.

    "Unaweza kupoteza heshima na kuharibu jina lako".
  3. little master

    JamiiForums Tanzania Miaka kadhaa nyuma Usimkatie tamaa Mtoto/kijana wako?

    Unajua nimewahi pia kumsoma yule Ben Carson nae anaelezea kuhusu motisha aliyopewa na mama yake hadi kufikia mafanikio aliyonayo ili hali udogoni alikuwa mtu asiye na uwezo mkubwa darasani. Japo kwa nchi nyingi za huku kwetu naimani kabisa kijana kuweza kujitambua mwenyewe mapema ni ngumu sana...
  4. little master

    JamiiForums Tanzania Mafanikio yako hayategemei umezaliwa katika mazingira gani.

    Aisee kuna watu toa kabisa hapo kwenye list.
  5. little master

    JamiiForums Tanzania Askari watatu wa Uhifadhi Ngorongoro washikiliwa kutokana na kifo cha fundi gereji Ngorongoro

    Yani mpaka mtu anafikia hatua ya kulia kiasi hicho ni hasira ambayo yani umeonewa kiwango ambacho ulishindwa kufanya lolote ila sasa.....
  6. little master

    JamiiForums Tanzania Kama umeoa au haujaoa take this

    Hizi kelele zimechosha sasa ma formula kibao utadhani tunaunda ndege, acheni kuoa wenye kuona umuhimu wataoa kama haina haja tuache.
  7. little master

    JamiiForums Tanzania Hivi Dudu Baya anaalikwa kwanini?!!! Yanga mmenikera sana

    Unajua ni namna ambavyo aliliwasilisha lilikuwa na uzito wake na siunajua mamba vitu vikiwa vimeanza kukolea kichwani. Na bora wakamuwahi tu.
  8. little master

    JamiiForums Tanzania Hivi Dudu Baya anaalikwa kwanini?!!! Yanga mmenikera sana

    "Tunawapiga MITI"
  9. little master

    JamiiForums Tanzania Hivi Dudu Baya anaalikwa kwanini?!!! Yanga mmenikera sana

    Hahahaha baada ya ile kauli nilijua tu inatakiwa niingie JF lazima nitakuta uzi kuhusiana na ile kauli hahahaha yule bro ana dunia yake kichwani.
  10. little master

    JamiiForums Tanzania Watu wa Mwanza Bana: Kumbe Hamisa Mobetto ni mtoto wa Mwanza halafu hamsemi mmekaa kimya?

    Wanaoitangaza wengi kuna mwamba umetoka kusema muda si mrefu kuna watu watapigwa miti.. Yule bro kashindikana.
  11. little master

    JamiiForums Tanzania Tume ya Sayansi Yampa Mkopo wa Milioni 100 Mbunifu wa Helikopta Ili aendeleze Teknolojia.

    Ni ukweli ambao hawawezi kuuelewa helicopter kwanza ni complex mno kiwango ambacho si kwamba tunadharau ina principle nyingi mno za kuzielewa na kufanyia majaribio kabla ya first flight ni basi tu.
  12. little master

    JamiiForums Tanzania Je, atajiuzulu kama wanavyotaka?

    Unataka kuniambia kabisa muda ni huu umepika na imeonekana umepungukiwa? Siyo drama tu?
  13. little master

    JamiiForums Tanzania Oyaa wazee Facebook kumekucha, Nabii Tito kachafukwa

    Eeeeeeh! Cha ukucha icho...
Back
Top Bottom