Unajua nimewahi pia kumsoma yule Ben Carson nae anaelezea kuhusu motisha aliyopewa na mama yake hadi kufikia mafanikio aliyonayo ili hali udogoni alikuwa mtu asiye na uwezo mkubwa darasani.
Japo kwa nchi nyingi za huku kwetu naimani kabisa kijana kuweza kujitambua mwenyewe mapema ni ngumu sana...
Ni ukweli ambao hawawezi kuuelewa helicopter kwanza ni complex mno kiwango ambacho si kwamba tunadharau ina principle nyingi mno za kuzielewa na kufanyia majaribio kabla ya first flight ni basi tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.