Recent content by little master

  1. little master

    Mimi ni mwanaume ninayeonewa na mke wangu, Dkt. Gwajma nisaidie

    "Uongozi bora haupimwi kwa vyeo, bali kwa matendo yanayobeba maisha ya wengine. Mheshimiwa kazi yako imenifundisha maana ya uongozi wa kweli."
  2. little master

    GE2025 Rais Samia akiapishwa Urais aongoze nchi bila kuwabembeleza Watanzania wala kuwapa Uhuru Uliopitiliza

    Nipo sehemu moja huku musoma panaitwa makojo wanakupa salamu sanaa yani sanaaa L. Mwashamba. Kiukweli kabisa unakubalika na umma wa Watanzania.
  3. little master

    Mwenye Nyumba Feki akipambana kunipiga Laki, nami Namu-enjoy

    Mwenye house nae mzinguaji sms ya kwanza kaandika kimakusudi nini? Baada ya kujibu mbona alibadili uandishi amezingua hasa.
  4. little master

    Natafuta sehemu ya kujitolea, nimesoma clinical medicine

    Kuna watu huwa kila thread hadi wachangie tu inasikitisha kweli yani na unaweza kuta hana ishu yoyote ile.
  5. little master

    Maajabu ya Mungu: Nimeiombea "graphics card" mbovu - imepona!

    Kwahiyo mfano diode imeungua ndani ya GPU hiyo inaweza rudi kama awali kwa maombi na ikafanya kazi? Serious???
  6. little master

    Ninachoona kwenye Parade ya China Aisee! Kama taifa na bara tupo nyuma sana

    Moja ya comment bora sana ndani ya huu Uzi.. (Asomaye na afahamu)
  7. little master

    Kukulana mchana vs kukulana usiku

    Sasa ole wake atukane aone..
  8. little master

    Maajabu ya Mungu: Nimeiombea "graphics card" mbovu - imepona!

    Hilo sikatai kabisa hapo sina ubishi ila kwenye Graphic Card umetupiga.
  9. little master

    Maajabu ya Mungu: Nimeiombea "graphics card" mbovu - imepona!

    Mtaalamu wa IT kabisa unasema mambo kama hayo ok sawa.
  10. little master

    KERO Tafadhali Serikali fungieni mchezo wa AVIATOR, Mchezo sio fair na unaua ndoto za Vijana

    Ni ndoto za vijana wengi sana kuwa marubani kwao hiyo ndo fursa si kila mtu awe ATCL.
  11. little master

    Ulimwengu wa kujitambua

    😁😁 Ila bonge la Uzi respect sana sema ndo vile tu siyo mambo ya wa Ethiopia haya.
  12. little master

    Mshikaji niliyeajiriwa naye pamoja amenipa hasira sana wakuu

    Hujaamua tu mkuu brother kasoma akiwa na miaka 40 ya logistics na procurement hapo NIT.
Back
Top Bottom