Recent content by little master

  1. little master

    JamiiForums Tanzania Anayejua location ya Body Massage ya bei chee aniambie, nataka kutoa ushamba na Ku relax pia

    Imenikumbusha mbali sana kulikuwa na ndugu yangu kabisa japo yeye kwa kipindi kirefu sana kasomea maeneo ya vijijini alifanikiwa kupata nafasi uhamiaji baada ya kutoka mafunzoni akapangiwa kituo Cha kazi. Alikutana na mshikaji huko huko depo akawa mwanae sana huyo yeye alikuwa mtu wa hizi mambo...
  2. little master

    JamiiForums Tanzania Siku hizi husikii madawa ya kulevya/Dhahabu kukamatwa Airport

    Convex kali kabisa yani noma sana. Vinnie paz anasema hanging from overhead wires...
  3. little master

    JamiiForums Tanzania Influencer na rafiki wa Davido afariki wakati akifanyiwa upasuaji wa kuongeza ukubwa wa uume

    Tatizo wanazingua huwezi kwenda kujipasua uboo kwa vitu ambavyo hata ufanye nini huwezi shindana nacho, kwahiyo hiyo nayo Mungu alipenda? Vitu vingine miyeyusho.
  4. little master

    JamiiForums Tanzania Siku hizi husikii madawa ya kulevya/Dhahabu kukamatwa Airport

    N Natambua hilo ndiyo maana nikasema sasa wanafanya magumashi kitu ambacho siyo poa kwasababu athari za hizo mambo ni balaa kuna mshikaji nae alikuwa ni mike katemwa job yani yanaharibu sana life ya mtu.
  5. little master

    JamiiForums Tanzania Siku hizi husikii madawa ya kulevya/Dhahabu kukamatwa Airport

    Kwahiyo hata report yao nadhani ipo page ya kwanza ni magumashi sasa, maana muda si mrefu alikuwa nyuma mic anatoa tathimini namna mamlaka ilivyotokomeza kwa kiasi kikubwa hadi kusema hata sober house sasa zinaanza kupungua.
  6. little master

    JamiiForums Tanzania Siku hizi husikii madawa ya kulevya/Dhahabu kukamatwa Airport

    Mbona kaka yetu wa dragi controo na enfosimenti anasema kadhibiti mno hayo kwa mafanikio makubwa sana?
  7. little master

    JamiiForums Tanzania Nimechelewa kujua kumbe Mungu hana Dini wala Chama cha Siasa

    Unaweza kuniambia kwanini Mungu hana dini?
  8. little master

    JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi: Siungi mkono mamlaka ya Rais kupunguzwa

    Huu ubishi sasa mbona South Korea, Brazil, France, Peru, Argentina, Chile , Columbia au tuweke na majina yao, zilikuwa kesi gani?
  9. little master

    JamiiForums Tanzania Njia ya kuacha punyeto

    Kwa nini raha yenyewe ni fupi sana? Kwa sababu orgasm ni kama kilele cha mlundikano wa msisimko. Fikiria hivi, Msisimko unaongezeka ,unafika kileleni, orgasm alafu unashuka haraka mfumo wa neva hauwezi kudumisha hali hiyo ya juu kwa muda mrefu. Baada ya orgasm, mwanaume mara nyingi huingia...
  10. little master

    JamiiForums Tanzania Huko FB wananchi wanafurahia kifo cha Kamishina wa polisi. Taifa limefikia pabaya sana.

    Kuna comment moja jamaa kasiliba kweli alafu kama msamaria akajifanya kutoa ushauri jibu alilopewa hata huyo anaye ratibu hiyo page naona yenye mwenyewe atajisemea watu wamechafukwa hasa.
  11. little master

    JamiiForums Tanzania Alisema atajiuzuru rasmi tarehe 4 Agosti, Tumeshamsahau tayari.

    Nyumbu anaweza kukimbizwa na simba akafika sehemu akaona nyasi nzuri sana akasahau kabisa kuwa alikuwa matatizoni akasimama na kuanza kula nyasi...
  12. little master

    JamiiForums Tanzania Uliwezaje au una-deal vipi na mchumba au mwanamke anayeamini katika dawa za kienyeji kama ulinzi (kinga dhidi ya wachawi)?

    Hiyo dawa gani ya kupaka matakoni tena? Ila kiukweli kuishi na mwenzi mshirikina inahitaji ujitoe sana hasa wa kwetu majita huko mmmh.
  13. little master

    JamiiForums Tanzania Tahadhari! Bahari Ina Roho Na Inaweza Kukuua

    Kwa mtazamo wa sayansi ya evolution, jibu sahihi si kwamba binadamu alitokana na nyani wa leo. Hilo ni kosa linalosemwa sana. Sayansi inasema hivi, Binadamu na nyani wengine wa sasa wana babu wa pamoja wa kale. Hapo sijui imeeleweka?
  14. little master

    JamiiForums Tanzania Tahadhari! Bahari Ina Roho Na Inaweza Kukuua

    Lakini hapo kwa nyani hapana si sayansi vile vile japo sayansi inaongelea habari za big bang lakini haindoi dhana kwamba hata wanasayansi nguli swala la Mungu lilibaki kama swala binafsi. Mfano Isaac, Nikola, Pascal, na wengine wengi sana walisoma hadi theology.
  15. little master

    JamiiForums Tanzania Tahadhari! Bahari Ina Roho Na Inaweza Kukuua

    Aisee siyo mchezo baharini huwa navuta picha usiku sijui inakuwaje tu.
Back
Top Bottom