Acha uongo, Diwani athumani msuya ni TISS na kachero mbobezi tangu zamani labda umemjua leo wewe, kama humjui nyamaza, Amekuewepo ndani ya jeshi la polisi kama agent wa TISS bila wao hata kujua.
Tiss wapo mahakamanumi, wapo ambao ni makarani, mahakimu, majaji,
Tiss wapo misikitini...