Dollar ya Marekani inashika nafasi ya tisa kwa thamani duniani

Call me GHOST

Member
Jan 18, 2019
52
93
Hi socrates,

Wengi wetu tumekuwa tukijua kwamba dollar ya marekani ndio fedha yenye thamani zaidi duniani lakini kuna pesa zingine ambazo zina thamani kuzidi ata hiyo dollar ya marekani

Na hii hapa ndio top 10 ya pesa zenye thamani zaidi duniani kutokana na ripoti ya January 3, 2020 ikiwa nyingi zao ni nchi za mashariki ya kati.

1.Kuwait Dinar ($3.29)
2.Bahrain Dinar ($2.66)
3.Oman Rial ($2.60)
4.Jordan Dinar ($1.41)
5.British Pound Sterling ($1.32)
6.Cayman Islands Dollar ($1.22)
7.European Euro ($1.11)
8.Swiss Franc ($1.01)
9.US Dollar
10.Canadian dollar ($0.75)

Swali la kujiuliza ni kwanini fedha ya marekani(USD) kutumika zaidi katika kuendesha uchumi wa dunia japo kuwa kuna fedha zingine ambazo zina thamani kuizidi?

Basi twende sawa hapa ili tujue ni kwanini inatumika zaidi dollar ya marekani

Tukirudi nyuma mpaka July1, 1944 katika mkutano wa Bretton Woods Conference uliopewa jina jingine kama "United Nations and Financial Conference" ulioendeshwa mpaka July 22, 1944 katika Hotel ya Mount Washington Uko United States

Mkutano huu uliowajumuisha wawakilishi 730 kutoka nchi zote 44 zenye nguvu duniani ukiwa na malengo matatu

1. Kuanzishwa kwa International Monetary Fund(IMF)
2. Kuanzishwa kwa International Bank for Reconstruction and Development(IBRD) World Bank

lengo la hizi taasisi mbili(IMF na IBRD) ilikuwa ni kusimamia hii new gobal monetary system ambayo ni US Dollar

3.Mapendekezo mengineyo juu ya uchumi wa mataifa mbalimbali

Haya marengo yote yalikuwa na target ya kuimarisha uchumi baina ya mataifa hayo baada ya vita ya pili ya dunia

Walichokubaliana katika mkutano huo ni ku replace global monetary system kutoka kwenye gold standard na kuwa US Dollar na hivyo kuifanya US Dollar kuwa global currency. Na marekani ikawa economy powerhouse ya dunia.

Taifa pekee lenye mamlaka ya kuchapisha US Dollar ni Marekani. Waliamua kuchagua kutumia US Dollar na sio currency nyingine kwa sababu kipindi hicho Marekani ilikuwa na 2/3 ya total world gold reserve. So the USD was the most stable currency na thamani yake na nguvu yake ilianza kuongezeka kuanzia kipindi hicho.
System iliyoanzishwa katika mkutano wa Bretton woods ilikoma mwaka 1970.

Swali jingine ni kwanini bado US Dollar ina nguvu japokuwa agreement ya Bretton woods Conference ilikomea mwaka 1970?

Well, Ni kwasabu Marekani bado ni Economy powerhouse ya Ulimwenguni. Takwimu zinaonyesha 90% ya forex trading inafanywa kwa kutumia US Dollar, 31% Euro na 21% Yen.
Kwahiyo US Dollar is still a very strong and stable currency in the world.
Fikiria only 35% ya US Dollar bills ndio zinazotumika Marekani, 65% ya bills zinazobakia zinatumika nje ya Marekani...pia kuna mataifa zaidi ya 9 yanatumia US Dollar kama local currency.

Kwa anaejua zaidi anaweza ongezea niishie hapo.

Thanks,



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfano rahisi kujiuliza ni kwa nini hela inavyokuwa ndogo inatakiwa iwe sarafu na isiwe noti? Kuna kipindi jero ilikiwa ni noti lakini ikawa inachakaa nyang'anyang'a. Mzunguko wa hela unakuwa mkubwa inapokuwa ndogo kuliko kubwa kutokana na uhitaji wake katika matumizi makubwa ya watumiaji wa chini. Kwa mfano hapa Tz noti ya 10,000 ndo yenye nguvu lakini mzunguko wake ni mdogo kuliko 5,000, 2,000, 1,000, 500, 200, 100, 50.
Kimkakati USA inaangalia Sera zake za nje na nchi husika na kuamua thamani ya hela yake (katika nchi usika) hiwe na thamani kubwa ili kuipata lazima upoteze hela yako. Nchi nyingine USA inaishusha thamani chini ya hela ya nchi hiyo ili kuvutia upatikanaji wa bidhaa kutoka hiyo nchi. Bidhaa pekee yenye thamani kwa Marekani ni mafuta. Hakimsumbui USA kushusha thamani ya hela yake ili apate mafuta. Hata hivyo mwisho wa Siku US Dollar kwa wastani wa nchi zotee duniani inabaki kuwa na thamani kuliko hela yoyote.
 
Uongo
(Ulimwenguni. Takwimu zinaonyesha 90% ya forex trading inafanywa kwa kutumia US Dollar, 31% Euro na 21% Yen.)
Hiyo statement umedanganya sababu ushazidi 100%. Haiwezekani wa kwanza awe na 91% wa pili 31% na wa tatu 21% ushazidi asilimia mia.
Rekebisha
Trading volume ni 200% mkuu sio 100%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shilling yetu ni ya ngapi?
Hi guyz,

Wengi wetu tumekuwa tukijua kwamba dollar ya marekani ndio fedha yenye thamani zaidi duniani lakini kuna pesa zingine ambazo zina thamani kuzidi ata hiyo dollar ya marekani

Na hii hapa ndio top 10 ya pesa zenye thamani zaidi duniani kutokana na ripoti ya January 3, 2020 ikiwa nyingi zao ni nchi za mashariki ya kati.

1.Kuwait Dinar ($3.29)
2.Bahrain Dinar ($2.66)
3.Oman Rial ($2.60)
4.Jordan Dinar ($1.41)
5.British Pound Sterling ($1.32)
6.Cayman Islands Dollar ($1.22)
7.European Euro ($1.11)
8.Swiss Franc ($1.01)
9.US Dollar
10.Canadian dollar ($0.75)

Swali la kujiuliza ni kwanini fedha ya marekani(USD) kutumika zaidi katika kuendesha uchumi wa dunia japo kuwa kuna fedha zingine ambazo zina thamani kuizidi?

Basi twende sawa hapa ili tujue ni kwanini inatumika zaidi dollar ya marekani

Tukirudi nyuma mpaka July1, 1944 katika mkutano wa Bretton Woods Conference uliopewa jina jingine kama "United Nations and Financial Conference" ulioendeshwa mpaka July 22, 1944 katika Hotel ya Mount Washington Uko United States

Mkutano huu uliowajumuisha wawakilishi 730 kutoka nchi zote 44 zenye nguvu duniani ukiwa na malengo matatu

1. Kuanzishwa kwa International Monetary Fund(IMF)
2. Kuanzishwa kwa International Bank for Reconstruction and Development(IBRD) World Bank

lengo la hizi taasisi mbili(IMF na IBRD) ilikuwa ni kusimamia hii new gobal monetary system ambayo ni US Dollar

3.Mapendekezo mengineyo juu ya uchumi wa mataifa mbalimbali

Haya marengo yote yalikuwa na target ya kuimarisha uchumi baina ya mataifa hayo baada ya vita ya pili ya dunia

Walichokubaliana katika mkutano huo ni ku replace global monetary system kutoka kwenye gold standard na kuwa US Dollar na hivyo kuifanya US Dollar kuwa global currency. Na marekani ikawa economy powerhouse ya dunia.

Taifa pekee lenye mamlaka ya kuchapisha US Dollar ni Marekani. Waliamua kuchagua kutumia US Dollar na sio currency nyingine kwa sababu kipindi hicho Marekani ilikuwa na 2/3 ya total world gold reserve. So the USD was the most stable currency na thamani yake na nguvu yake ilianza kuongezeka kuanzia kipindi hicho.
System iliyoanzishwa katika mkutano wa Bretton woods ilikoma mwaka 1970.

Swali jingine ni kwanini bado US Dollar ina nguvu japokuwa agreement ya Bretton woods Conference ilikomea mwaka 1970?

Well, Ni kwasabu Marekani bado ni Economy powerhouse ya Ulimwenguni. Takwimu zinaonyesha 90% ya forex trading inafanywa kwa kutumia US Dollar, 31% Euro na 21% Yen.
Kwahiyo US Dollar is still a very strong and stable currency in the world.
Fikiria only 35% ya US Dollar bills ndio zinazotumika Marekani, 65% ya bills zinazobakia zinatumika nje ya Marekani...pia kuna mataifa zaidi ya 9 yanatumia US Dollar kama local currency.

Kwa anaejua zaidi anaweza ongezea niishie hapo.

Thanks,



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfano rahisi kujiuliza ni kwa nini hela inavyokuwa ndogo inatakiwa iwe sarafu na isiwe noti? Kuna kipindi jero ilikiwa ni noti lakini ikawa inachakaa nyang'anyang'a. Mzunguko wa hela unakuwa mkubwa inapokuwa ndogo kuliko kubwa kutokana na uhitaji wake katika matumizi makubwa ya watumiaji wa chini. Kwa mfano hapa Tz noti ya 10,000 ndo yenye nguvu lakini mzunguko wake ni mdogo kuliko 5,000, 2,000, 1,000, 500, 200, 100, 50.
Kimkakati USA inaangalia Sera zake za nje na nchi husika na kuamua thamani ya hela yake (katika nchi usika) hiwe na thamani kubwa ili kuipata lazima upoteze hela yako. Nchi nyingine USA inaishusha thamani chini ya hela ya nchi hiyo ili kuvutia upatikanaji wa bidhaa kutoka hiyo nchi. Bidhaa pekee yenye thamani kwa Marekani ni mafuta. Hakimsumbui USA kushusha thamani ya hela yake ili apate mafuta. Hata hivyo mwisho wa Siku US Dollar kwa wastani wa nchi zotee duniani inabaki kuwa na thamani kuliko hela yoyote.
Yes kulingana na list ya International Standard Organization(ISO) dollar ya marekani ni miongoni mwa fedha 185 duniani lakini fedha hizi kwa wingi zinatumika kwenye nchi husika na dollar ya marekani ndio inatumika zaidi katika soko la kibiashara (Forex market) na kwa kuwaza tu, hizi fedha zingine zinashindwa kuizidi dollar nguvu kwa sababu dollar ya marekani ndio imesambaa sehemu nyingi kwenye soko

Kwa ripoti ya mwaka 2018, fedha zilizotumika zaidi kibiashara(The 10 most traded currencies) katika forex market ni kama:

U.S. Dollar 90.0%
Euro 31.0%
Japanese Yen 21.0%
British Pound 12.0%
Australian Dollar 7.0%
Canadian Dollar 5.0%
Swiss Franc 5.0%
Chinese Yuan 4.0%
Swedish Krona 2.2%
Mexican Peso 2.2%

Sasa unaweza kuona ni jinsi gani dollar ya mmarekani inavyopata nguvu sokoni kutokana na popularity



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kimkakati USA inaangalia Sera zake za nje na nchi husika na kuamua thamani ya hela yake (katika nchi usika) hiwe na thamani kubwa ili kuipata lazima upoteze hela yako. Nchi nyingine USA inaishusha thamani chini ya hela ya nchi hiyo ili kuvutia upatikanaji wa bidhaa kutoka hiyo nchi.
Mbona Bahrain kuna influence kubwa tu ya Iran lakini ela yake iko juu!? Au ulimaanisha sera za namna gani za US?!
 
Mbona Bahrain kuna influence kubwa tu ya Iran lakini ela yake iko juu!? Au ulimaanisha sera za namna gani za US?!
Thamani ya Dollar katika nchi husika hiko hivyo kimkakati. Unaweza kuwa wa kisiasa, kijeshi, kidiplomasia, kiuchumi (mafuta). Inategemea Sera ya Marekani kwa Bahrain hikoje! Unajua kuna msemo: adui wa adui yako ni rafiki yako.
 
Umeeleza haraka haraka sana sijui ulikuwa unawahi kitekno chako kisiishiwe chaji

Kinachoufanya dollar kuendelea kuwa na nguvu hata baada ya 1972 ni kwa sababu walicheza dili na wasaudia ikawa ili upate mafuta lazima uwe na dollar
 
Naomba kuulizwa, je ? Sheria ipi inaruhusu nchi husika kuchapisha noti (fedha)? .. mfano hela inapotumika inachakaa /kuchomwa etc ... Na kusababisha kutoweka ktk mzunguko, je Kama Tz inaweza kuzichapisha noti husika ama vp?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom