Recent content by lisu 2

  1. lisu 2

    Imekuwaje tena Mabeberu kufanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa?

    Ccm huwa wanasahau, huwezi kula ugali bila kupita kwenye maji ya moto.
  2. lisu 2

    Usafi na utunzaji wa vyoo vya vituo vikuu vya mabasi Tz

    Napenda kuchukua nafasi hii kutoa dukuduku Langu hapa jukwaa letu pendwa.Mimi ni msafiri wa ndani na nje ya nchi yetu, nimekuwa nikisafiri na mabasi kutokoa Dar kuelekea mikoa tofauti nchini Tz kinachonisikitisha ni ubovu wa vyoo vinavyohudumia wasafiri na hata raia wa hapo wanaotafuta...
  3. lisu 2

    Rais Magufuli akabidhi Mfumo wa TTMS. Asema changamoto ambazo hazitatatuliwa awamu ya tano, hazitatatuliwa maishani

    Nilishangaa sana kuona waliokuwa wasikilizaji hawakupiga makofi kuungana nae.Kiukweli huenda ikawa hiyo ni njia ya kumfikisha pale pa aongezewe muda wabunge wa nyinyiem utasikia ndiyooooo.
  4. lisu 2

    Tundu Lissu ndani ya BBC HARDtalk

    Wasiompenda watazima TV zao maana Mungu kawaumbua mazima,mwenye record ya Lisu ya kitu chochote alichoanzisha huyu mh akashindwa atuwekee hapa kama kumbukumbu,nijuavyo Mimi kwa uelewa wangu hajawahi kushindwa hivyo hata wabaya wake wakatili kama mawe wameshindwa swali ni je nia yake ya kuwania...
  5. lisu 2

    Tundu Lissu ndani ya BBC HARDtalk

    Wasiompenda watazima TV zao maana Mungu kawaumbua mazima,mwenye record ya Lisu ya kitu chochote alichoanzisha huyu mh akashindwa atuwekee hapa kama kumbukumbu,nijuavyo Mimi kwa uelewa wangu hajawahi kushindwa hivyo hata wabaya wake wakatili kama mawe wameshindwa swali ni je nia yake ya kuwania...
  6. lisu 2

    Sera za Tanzania kwa Congo zitaathiriwa vipi na ushindi wa Felix Tshisekedi, mgombea kutoka upinzani?

    Umetisha ndugu, yaani umeeleweka sawia kabisa hongera kwa uchambuzi wako.
  7. lisu 2

    Zitto Kabwe: Spika wa Bunge hana mamlaka kisheria kumwita CAG Kamati ya Maadili

    Hebu nikumbusheni hakuna kiongozi mkubwa tuu bungeni aliwahi kuigomea kamati ya maadili ya bunge na mpaka muda huu ni mwenyekiti wa bunge?
  8. lisu 2

    Umaarufu wa Rais kweli unaashiria utafiti wa TWAWEZA

    Ni kweli mkuu haki hupandisha umaalifu wa mtu,kama kuna shida mahali usitegemee umaalufu utapanda Bali utashuka kulingana na minunguniko ya watu.kila kona ya nchi malalamiko ni makubwa, ni wachache tu wanaona sema tunaelekea njia nzuri,katika hao ni wale hawakuwa kuajiliwa wala kuonja utamu wa...
  9. lisu 2

    Padri Titus Amigu: Viongozi wa dini kuingia woga hata kusema uongo

    Hakika atukuzwe aliye juu ya yote maana bila yeye yote yasingekuwepo,napenda kusema tu kuwa hakuna siasa bila uwepo wa dini hivi vyote waumi ni wale wale wanasiasa na wana dini,naungana na mwandishi wa andiko hili kwani katufungua macho wengi.
  10. lisu 2

    CCM yavuna wanachama wa CHADEMA Kilombero

    Mbona wote ni under 18yrs jamn.
  11. lisu 2

    CCM Njombe yaahidi kushinda vijiji na mitaa yote katika uchaguzi mdogo 2019

    Ccm mpeni huyo kijana posho ya kutosha angalau afanane na nyie, maana si kwakupauka huko.
  12. lisu 2

    Tujifunze kwa yanayotokea Marekani

    Hiyo ndiyo faida ya kuwa na wawakilishi wengi wa upande wa upinzani hata Tanzania hayo yangefanyika kama wabunge wa upinzani wangekuwa wengi.Maana Raisi asingefanya hayo kwa kujiamini.
  13. lisu 2

    Je, ni halali Polisi kuwa jeuri kwa vitendo na kauli kama huyu Kamanda?

    Namkumbuka huyo officer wa polisi alipata cheo baada ya kupambana na majambazi ubungo waliokuwa wameiba pesa,ndiyo jeshi likampandisha kutoka underground hadi kuwa mkuu.
  14. lisu 2

    Dokta ongeza sindano, dawa imewakolea kila mmoja anaongea lugha tofauti

    Bahati nzuri dawa hiyo inaingia kotekote hakuna mwenye unafuu
Back
Top Bottom