SautiYaMnyonge
JF-Expert Member
- May 13, 2018
- 439
- 742
Na Mwandishi Wetu
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Morogoro Ndg Innocent Kalogeresi amefunga mafunzo ya vijana ya wilaya ya Kilombero na kisha kupokea wanachama wapya 20 viongozi wa CHADEMA kata ya Sanje, jimbo la Kilombero 03, Disemba 2019.
Mwenyekiti huyo ametamba kuwa hakuhitajiki ramli, ubashiri wala unabii kuwa majimbo yaliyokwenda upinzani mkoa wa Morogoro yatarejea mikononi mwa CCM kwani kazi inayofanywa na serikali ya CCM chini ya Mhe Rais Dkt John Pombe Magufuli inawaridhisha wananchi walio wengi.
Katika ziara hiyo mwenyekiti huyo wa mkoa aliambatana na katibu wa CCM mkoa huo Ndugu Shaka Hamdu Shaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Morogoro Ndg Innocent Kalogeresi amefunga mafunzo ya vijana ya wilaya ya Kilombero na kisha kupokea wanachama wapya 20 viongozi wa CHADEMA kata ya Sanje, jimbo la Kilombero 03, Disemba 2019.
Mwenyekiti huyo ametamba kuwa hakuhitajiki ramli, ubashiri wala unabii kuwa majimbo yaliyokwenda upinzani mkoa wa Morogoro yatarejea mikononi mwa CCM kwani kazi inayofanywa na serikali ya CCM chini ya Mhe Rais Dkt John Pombe Magufuli inawaridhisha wananchi walio wengi.
Katika ziara hiyo mwenyekiti huyo wa mkoa aliambatana na katibu wa CCM mkoa huo Ndugu Shaka Hamdu Shaka.
Sent using Jamii Forums mobile app