Ktk vitu ambavyo si vya kuendelea kushika/kuvikumbatia Kama ulikuwa hivyo mwaka Jana 2018 ni pamoja na Chadema!-
Kama uliukumbatia wizi, ufisadi, rushwa, uvivu, ufuska hakikisha Mwaka huu unaachana na majanga hayo. Lkn kubwa zaidi
Kama Mwaka wa 2018 uliukumbatia uchadema na Chadema yenyewe hakikisha January hii, ndio mwisho ,Ili usiingie 2019 vilivyo ukiwa na janga hilo kwa maslahi ya Taifa.
Kwanini Chadema ni janga na inaingia ktk kundi la majanga ya kutokumbatiwa mwaka huu wa 2019?:-
Majibu..
-Chadema tofauti na jina lake imeshindwa kuilinda Demokrasia ya kweli ndani yake,tunamshuhudia Mwenyekiti Mfalme akisalia kitini kwa miongo kadhaa kinyume na katiba Yao.
-Chadema imeshindwa kujijengea yenyewe msingi wa maendeleo, achana na maendeleo ya umma, ya kwao wenyewe wameshindwa, tofauti na wanavyojinasibu ni Chama cha demokrasia na maendeleo , maendeleo gani hadi Leo miaka 25 na zaidi toka kuasisiwa kwake na ruzuku nzito wapatayo toka Serikalini lkn chadema imeshindwa kumiliki Ata kajengo ka vyumba vitatu kwa majina yake!!?
-Chadema ni janga kwa kujidhihilisha kuwa wanatumika na mabepari wenye nia ovu dhidi ya Taifa letu na Afrika kwa ujumla.
-Chadema ni janga la kutupa tunapouanza mwaka huu wa 2019 kwa kujidhihirisha kuwa ni wapinga maendeleo ya Taifa letu.
Bado unaukumbatia Uchadema na chadema? Panua akili,, huu ni mwaka mpya, list ya majanga,tuliitupilia mbali Dec ,2018. Huu ni mwaka wa Free from majaruba na majanga Chadema.
Kama uliukumbatia wizi, ufisadi, rushwa, uvivu, ufuska hakikisha Mwaka huu unaachana na majanga hayo. Lkn kubwa zaidi
Kama Mwaka wa 2018 uliukumbatia uchadema na Chadema yenyewe hakikisha January hii, ndio mwisho ,Ili usiingie 2019 vilivyo ukiwa na janga hilo kwa maslahi ya Taifa.
Kwanini Chadema ni janga na inaingia ktk kundi la majanga ya kutokumbatiwa mwaka huu wa 2019?:-
Majibu..
-Chadema tofauti na jina lake imeshindwa kuilinda Demokrasia ya kweli ndani yake,tunamshuhudia Mwenyekiti Mfalme akisalia kitini kwa miongo kadhaa kinyume na katiba Yao.
-Chadema imeshindwa kujijengea yenyewe msingi wa maendeleo, achana na maendeleo ya umma, ya kwao wenyewe wameshindwa, tofauti na wanavyojinasibu ni Chama cha demokrasia na maendeleo , maendeleo gani hadi Leo miaka 25 na zaidi toka kuasisiwa kwake na ruzuku nzito wapatayo toka Serikalini lkn chadema imeshindwa kumiliki Ata kajengo ka vyumba vitatu kwa majina yake!!?
-Chadema ni janga kwa kujidhihilisha kuwa wanatumika na mabepari wenye nia ovu dhidi ya Taifa letu na Afrika kwa ujumla.
-Chadema ni janga la kutupa tunapouanza mwaka huu wa 2019 kwa kujidhihirisha kuwa ni wapinga maendeleo ya Taifa letu.
Bado unaukumbatia Uchadema na chadema? Panua akili,, huu ni mwaka mpya, list ya majanga,tuliitupilia mbali Dec ,2018. Huu ni mwaka wa Free from majaruba na majanga Chadema.