Recent content by lishengalikomi

  1. L

    Mbunge Godbless Lema apandishwa kizimbani Mahakama Kuu Arusha, anyimwa dhamana

    Hapo ni kumtengenezea popularity na pesa hapo baadae akiwashinda.
  2. L

    Kwanini Lowassa, Mbowe na CHADEMA kwa ujumla hawaungi mkono mahakama ya mafisadi?

    Wameipinga kwa kupitia TAMKO lipi LA kichama????.
  3. L

    Yuko wapi Ridhiwani Kikwete?

    Kwani kikwete alivyokuwa akijinadi kwa "Mamilioni ya kikwete" hizo pesa katoa kwenye mifuko yake? Tuache maswali ambayo hayana msingi., hii ni kumaanisha hata yeye na baba yake woote wakiwa madarakani wameshindwa kulijali jimbo lao kwa vifaa vya msingi kama hivo.
  4. L

    Fagia fagia ya Magufuli

    Yeyote anayemlaumu Raisi kwa uteuzi wake wa Makonda atakuwa hamtendeu haki kwani kikubwa ni resource aliyonayo ndani ya ccm. Inawezekana huyo makonda akawa ndiyo nafuu kwa ubora na uwezo ndio maana akamteuwa. Tumwachie Mungu tuone yajayoo
  5. L

    Majipu Matatu "Yaliyoiva" Kwenye Baraza la Mawaziri

    Ujumbe umekufikia lakini?
  6. L

    Mbowe achia chama kwa vijana wakijenge la sivyo 2020 yatawakuta makubwa CHADEMA

    Si uanzishe chama chakooo au lah nenda kachukue utawala wa CCM kwani viongozi wake woote ni wazeee
  7. L

    Jesca Kishoa, atakiwa kupeleka bungeni ushahidi wa Mabehewa hewa ya bil 238

    Kwenye hili sins shaka serikali inaenda kuaibika, ni bora watulie kwani MTU hawezi kusema bila kuwa na ushahidi. Isitoshe, Suala LA ushahidi mkumbuke source Mara nyingi huwa nyingi ikiwemo ofisi husika. Isije na lenyewe likawa jipu oooooohooooooo!
  8. L

    Iko haja kwa ratiba za masomo elimu ya msingi ziishie saa nane kamili

    Baada ya usitishwaji wa michango elekezi kwa wazazi wa watoto shule na msingi na sekondari, kumekuwa na lalamiko kuu la kwa shule nyingi zinashindwa kujimudu hasa katika kuwaandalia watoto chakula cha mchana mashuleni. Kwa mtazamo wangu sioni haja ya kuwepo kwa mchango huo wa chakula kwani...
  9. L

    Elimu bure imefukuzisha walinzi wa shule

    Iko haja ya Wakuu wa shule kurudisha miradi kama vile ile ya EK yaani Elimu ya Kujitegemea. Hii inaweza ikawaongezea kipato cha shule ikiwa ni pamoja na kuipunguzia serikali mzigo wa gharama za uendeshaji.
  10. L

    Mugabe alionya baraza la usalama la UN, asema Kikwete aliambiwa akabidhi madaraka chama kingine

    Mugabe amesema alichoambiwa na hakuwa na sababu ya kukinyamazia wakati muda umefika. Tazama, Mugabe ni mzee msema kweli kwenye hili yeye hana la kupoteza.
  11. L

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Magufuli anatenda kazi yake pasipo kufuata Ilani Ya ccm. Hivyo nawaomba wanasiasa mkae pembeni Hakuna Ujomba WA urafiki WA kinafiki Ktk utendaji WA Hii team Mpya. Mliozoea mteremko Kwa Mkwere ntakiona safari Hii.
  12. L

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Hao mawaziri wajao wajiandae kuenenda na kasi Ya Ajabu...
  13. L

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Shida ni kwamba kuwapata watu wenye Muono huohuo ni kazi kidogo Kwani wengi wanataka mteremko
  14. L

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Kwa tathmini Fupi tu Jeshi LA watu Wanne (Raisi, Waziri mkuu, spika na makamu WA raisi) linatosha. Hili Jeshi limeonyesha uwezo mkubwa Kwa Kipindi hiki kifupi Kwa kuweza kufukunyua Madudu yaliyolindwa na team Kubwa Ya Utawala uliopita. Kwa Haya machache napenda kutoa Maoni yangu kuwa...
  15. L

    Picha za toka nyumbani kwa mbunge Deo Filikunjombe, mjengo aliouacha, na ajali

    Tuwaombee marehemu wrote. Tuliobaki tusonge mbele na harakati za kidunia.
Back
Top Bottom