Recent content by lipongo

  1. lipongo

    Mwongozo wa Kozi za Shahada za Uhandisi hapa Tanzania

    Ningependa kujua zaidi kuhusu software engineering. Thanks
  2. lipongo

    Abiria unachelewaje Ndege (check-in) Airport?

    Siku ya kwanza kupanda ndege ,wale maafisa wanaokaaga kwenye chumba cha pembeni hapa baada ya kupigiwa mhuri kwenye passport,waliniita na kuanza kuniuliza maswali ,ilikua kidogo nichelewe.kumbe walikua wanataka hela, dooh!! Nikatoa ef kumi nikawapa,wakaniambia haya nenda.
  3. lipongo

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Walcott bado gonjwa kabisa
  4. lipongo

    Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

    (Firstrowne.eu)
  5. lipongo

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kwa beki hii ya leo, kushinda mechi yoyote ni miujiza.labda warudi Debuchy & cons.
  6. lipongo

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Poor welbeck! Yeye na goli.
Back
Top Bottom