Siku ya kwanza kupanda ndege ,wale maafisa wanaokaaga kwenye chumba cha pembeni hapa baada ya kupigiwa mhuri kwenye passport,waliniita na kuanza kuniuliza maswali ,ilikua kidogo nichelewe.kumbe walikua wanataka hela, dooh!! Nikatoa ef kumi nikawapa,wakaniambia haya nenda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.