Heche ni mtu safi sana, kuna mbinu chafu za ccm ambazo zinafanywa ili kumdhoofisha Mh: Heche na humo jf mmelipwa wewe, Mwamshamba na wengineo wengi tu, ili kuchonganisha, mtashindwa ninyi na huyo shetani wenu mkuu samia.
Mtoa mada mshamba, sisi watanganyika tunaipenda CHADEMA Kwa mioyo yetu ya dhati, nyinyi kinachowauma ni nini? Samia na kundi lake ndiyo wanakula kodi zetu. Mimi naendelea kuwachangia CHADEMA kwa chochote nilichonacho ili tuitoe hii serikali haramu ya dikteta samia. Tunafahamu mnalipwa ili kuiua...
Nakutakia nguvu, hekima na uvumilivu katika majukumu yako ya uongozi. Endelea kusimamia unachoamini kwa kufuata sheria, sheria maadili maslai ya wananchi kutetea haki na kuhimiza uwajibikaji.
Usikate tamaa unapokutana na changamoto. Kila hatua ya mapambano inaitaji ushujaa, busara na kujitolea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.