Recent content by Lipijema

  1. Lipijema

    FT: Mashujaa 1-1 Simba SC | | Simba waondolewa Shirikisho kwa matuta (6-5) | Tarehe 9/4/2024

    Mashujaa wanakosa, Simba wanapat pernati ya pili. Mashujaa wanapata pernat ya kwanza.
  2. Lipijema

    FT: Mashujaa 1-1 Simba SC | | Simba waondolewa Shirikisho kwa matuta (6-5) | Tarehe 9/4/2024

    Watagogwa tu, pamoja na tunguli zao! Walisema kutangulia si kufika.
  3. Lipijema

    Nape: 78% ya Watanzania wanasikiliza Redio tofauti na mitandao ambayo Watumiaji ni 10% tu. Mitandaoni kuna mambo Mengi yasiyofaa, tumia Redio

    Si kweli, tulikuwa wengi wetu twatumia mitandao hii ya kijamii, hatuzitaki hizo radio zao kwa sababu: radio zote zinafuata matakwa ya Serikali na chama chao. Ukweli hizo radio hazitufai kabisa.
  4. Lipijema

    Tanzania kuna sheria inaruhusu au kukataza binadamu kumwita mwenzake KAFIRI?

    Kafir ni mtu anayemshirikisha Mungu zaidi ya Mungu mmoja (Allah)
  5. Lipijema

    Choo cha kukaa ni uchafu tu, sasa unajisafisha kwa namna gani?

    Mhhh! Miaka hiyo ya 90 nikiwa na wazazi wangu wapo hai huko Kilosa Morogoro kulikuwa na choo cha familia cha hivi, binafsi nilikuwa napanda juu yake na kuchuchumaa. Ukweli vinaleta kinyaa kukaa.
  6. Lipijema

    Utekaji umeanza tena? Imam Mkuu wa msikiti wa GPB Geita atekwa

    Polisi hatuwaamini mara kadhaa wao ndiyo wahusika.
  7. Lipijema

    Paul Makonda: Ukimchukia Rais Samia unamkosea Mungu

    Mmeanza kumdhiaki tena Mungu, bado mjaridhika alipowatwalia jiwe wenu! Makonda na wenzake ni mashetani, Makonda alitaka kumtanguliza T.Lissu yy na washilika wake lakini ALLAH aliepusha hilo ingawa Mh: L, hadi leo tukimuona tunabubujikwa na machozi, Leo hii nami nikimshuhudia Makonda na washirika...
  8. Lipijema

    ‘Watanzania wanyonge’ wataka Paul Makonda agombee na kupewa Urais 2030

    Makonda awe Rais!? Wee ni takataka kabisa.
  9. Lipijema

    Ni kweli alikuwa na ubaya, lakini na uzuri alikuwa nao

    Ni ukweli usiopingika, kuna machache umeyasshau, aliweza kutatua matatizo ya ardhi pia kwa waislam kule Sumbawanga ambayo tangu enzi za Nyerere yalishindikana.
  10. Lipijema

    DOKEZO Uvuvi haramu umeshamiri Ziwa Victoria. Mamlaka chukueni hatua!

    Acha tuvune hizi mali alizotujalia Muumba, uvuvi haramu alishaumaliza Luhaga na Mwendazake.
Back
Top Bottom