Recent content by Lipijema

  1. Lipijema

    Hali anayoipitia Mange kimambi kwasasa iwe funzo damu za watu zinamlilia tuache dhambi dhambi inaua.

    Anayeteseka ni Samuya, Mange yupo vizuri kabisa. Samuya ndiye muuaji.
  2. Lipijema

    Ni aibu na fedheha kubwa sana kwa CHADEMA Kushindwa Kuwa Na Vitega Uchumi Kwa Miaka 34 Na Kuishia Kuombaomba Tu Michango Inayoishia Kutafunwa hovyo

    Fala wewe, chama mlikifungia na viongozi wake hadi leo mmewaweka maabusu mnategemea nini? Mmeua watanzania wengi tu.
  3. Lipijema

    FT | TRA SC 0-0 Simba SC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid - Arusha

    Hadi muda huu TRA Wanashambulia mara kwa mara lango la mnyama.
  4. Lipijema

    Said Issa Mohammed: Heche tuheshimiane, siwezi kula nguruwe mimi

    Msamehe bure, ukweli ametereza.
  5. Lipijema

    Yanga tuligeuka Dodoma fc gafla aisee mpira hauna adabu

    Hongera kwa kulijua hilo, wape na elimu wenzio.
  6. Lipijema

    Maisha ya saiv tofaut na zaman

    Samuya ameongeza chuki na ukatiri kwa upande huu wa Tanganyika, mhhh! Mwaka huu wa 1980 mimi nilikuwa LY.
  7. Lipijema

    Idu nacheka ninapofuatilia kesi ya Lissu. Kwamba mtuhumiwa anawafundisha waendesha mashitaka nini cha kufuata kisheria!

    T. Lissu ni azina aliyetujalia ALLAH lakini kwa bahati mbaya au kwa makusudi hatujui kuitumia!
  8. Lipijema

    Je, wajua? Wasio Waislamu hawaruhusiwi kukanyaga Makka?

    Maujaji wanapopatwa na kifo wanazikwa wapi?
  9. Lipijema

    Kuna viashiria kuwa wananchi wameanza kuunga mkono njia za nguvu

    Ukweli ndiyo huo, hata sisi tuliopo vijijini tunalitambua hilo. Kwanza uwezo wa namba moja ni mdogo mno, Mkunda yupo kwa ajiri ya kulinda maslahi yake na alie mpa hiyo nafasi. Ni vyema iwepo njia mbadala ya kubadilisha hiyo system yao. Angalia ndugu zetu walivyokufa inasikitisha sana.
  10. Lipijema

    PostGE2025 Brenda Rupia: Wanapoteza kodi za Watanzania kwa kesi ya mchongo. Mashahidi hawajui kesi inahusu nini

    #Lissu si muhaini, sote twalijua hili. Hii ni akili mbovu ya huyo samuya mwenye div 0. Kwa akili yake mgando anajua anawadhoofisha wapinzani na kutukomoa cc watanganyika.
  11. Lipijema

    Mawakili wa JF naomba tusaidiane kuikomboa JF

    Wazo zuri sana, ila huyo P. Mayalla ni mtu wa njaa, pandikizi na ni Chawa.
  12. Lipijema

    PostGE2025 Baada ya takribani miezi mitatu, kesi ya Tundu Lissu kuendelea leo Februari 9, 2026

    Hakuna wa kumlaumu sote tupambanie TANGANYIKA yetu.
Back
Top Bottom