Ukweli ndiyo huo, hata sisi tuliopo vijijini tunalitambua hilo. Kwanza uwezo wa namba moja ni mdogo mno, Mkunda yupo kwa ajiri ya kulinda maslahi yake na alie mpa hiyo nafasi. Ni vyema iwepo njia mbadala ya kubadilisha hiyo system yao. Angalia ndugu zetu walivyokufa inasikitisha sana.
#Lissu si muhaini, sote twalijua hili. Hii ni akili mbovu ya huyo samuya mwenye div 0. Kwa akili yake mgando anajua anawadhoofisha wapinzani na kutukomoa cc watanganyika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.