Huyo simba mwenye wachezaji wabovu na wasiojua kupiga pasi, ndio hao wanaoongoza kwa kupiga pasi nyingi katika ligi na ni wao pia waliocheza mechi chache zaidi lakini pia ni timu pekee haijapoteza mchezo ligi kuu na haina drooo. Usijudge kishabiki embu jaji mpira kwa haki
Wiki iliopita nimesafir na v8 LC200 asee kiukweli sioni utofauti na crown kwenye swala la comfort inshort...niliinjoy sana safari za crown kuliko LC 200
Hongereni wote mliopata bahati ya kuingia kwenye government payrol, Mungu akawaongoze kwenye kila hatua na pia tuzidi kuombeana hata sisi wengine angalau mambo yatunyookee mtaani hakufai huku
First of all unapaswa kurudi nyuma kabisa kwenye biblia, kitabu kilichoelezea vizuri zaidi kuhusu historia hii. Abraham/Ibrahim anatambulika kama ndie baba wa taifa la Israel maana yeye ndie baba wa Ishmael na Isaka ambaye kupitia yeye walizaliwa watoto kumi na wawili na hayo ndio makabila kumi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.