Natumia simu (sio simu ya Android) aina ya Oking 1712. Nimesahau password niliyokuwa naitumia. Naombeni msaada wenu wa ku-unlock bila kui-flash.
Inawezeka?
Habarini,
Mwenye kuhitaji Ufuta kununua kiasi chochote kuanzia tani na kuendelea unapatikana.
Na kama unahitaji mtu wa kufanya naye kazi ya kununua ufuta unaweza kuwasiliana na Mimi. Maana msimu wa ufuta umekaribia sana na Vyama vya ushirika vitaanza kukusanya ufuta tarehe 23/05/2020...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.