Recent content by linyoto

  1. linyoto

    Mwanaume mzima unaishi kwa wakwe zako?

    Hapana sio kweli na kama ni kweli naomba nikuowe
  2. linyoto

    Mwanaume mzima unaishi kwa wakwe zako?

    Rudisha ile aviatar yako kipenzi hii dah
  3. linyoto

    Mpenzi wangu ananishauri nitoe mimba, hana uwezo wa kulea

    Nitakushukuru Sana miminimama
  4. linyoto

    Mpenzi wangu ananishauri nitoe mimba, hana uwezo wa kulea

    Sina Unatoka kunipa mmoja mpenzi
  5. linyoto

    Anayeuza simu

    Njoo chukua techno phantom 6 laki 2
  6. linyoto

    Mpenzi wangu ananishauri nitoe mimba, hana uwezo wa kulea

    Kama Uko dar Fanya kun pm Mimi Nina mpaka 37 Sina mtoto natafuta hata mtoto wa kusingiziwa lakini sipati, njoo unisingizie hiyo mpenzi Mimi ntalea kuliko kukiuwa kiumbe kisicho na hatia
  7. linyoto

    Wakuu naombeni mniombee sana

    Nipo mbioni kukufungulia uzi, much love. Mother Confessor
  8. linyoto

    Nauza Asali mbichi ambayo haijachakachuliwa hata

    Unapatikana wapi kiongozi
  9. linyoto

    Nauza Asali mbichi ambayo haijachakachuliwa hata

    Sidhani Sana Sana yatakuwa masimango[emoji16]
  10. linyoto

    Nauza Asali mbichi ambayo haijachakachuliwa hata

    Sawa mkuu ngoja niwacheki
  11. linyoto

    Nauza Asali mbichi ambayo haijachakachuliwa hata

    Za asubuhi wakuu, Kama Mada isemavyo, nauza ASALI mbichi ambayo haijachakachuliwa hata kidogo, baada ya kurudi kutoka kwa madiba aka bondeni wakuu Nilikuwa Sina Dili hapa mjini, baada ya kuwaza na kuwazua nikaona nije na wazo la biashara ya ASALI, likawa wazo na sasa ni biashara kamili...
Back
Top Bottom