Recent content by linyoto

  1. linyoto

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume mzima unaishi kwa wakwe zako?

    Hapana sio kweli na kama ni kweli naomba nikuowe
  2. linyoto

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume mzima unaishi kwa wakwe zako?

    Rudisha ile aviatar yako kipenzi hii dah
  3. linyoto

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu ananishauri nitoe mimba, hana uwezo wa kulea

    Ahsante mkuu
  4. linyoto

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu ananishauri nitoe mimba, hana uwezo wa kulea

    Ahsante
  5. linyoto

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu ananishauri nitoe mimba, hana uwezo wa kulea

    Nitakushukuru Sana miminimama
  6. linyoto

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mimi nimejaribu hizo
  7. linyoto

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu ananishauri nitoe mimba, hana uwezo wa kulea

    Sina Unatoka kunipa mmoja mpenzi
  8. linyoto

    JamiiForums Tanzania Anayeuza simu

    Njoo chukua techno phantom 6 laki 2
  9. linyoto

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu ananishauri nitoe mimba, hana uwezo wa kulea

    Kama Uko dar Fanya kun pm Mimi Nina mpaka 37 Sina mtoto natafuta hata mtoto wa kusingiziwa lakini sipati, njoo unisingizie hiyo mpenzi Mimi ntalea kuliko kukiuwa kiumbe kisicho na hatia
  10. linyoto

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni sahihi mwanaume kushikwa makalio na mwenza wake wa kike wawapo faragha?

    Kwani wewe ni Rais wa dar[emoji33]
  11. linyoto

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakuu naombeni mniombee sana

    Nipo mbioni kukufungulia uzi, much love. Mother Confessor
  12. linyoto

    JamiiForums Tanzania Nauza Asali mbichi ambayo haijachakachuliwa hata

    Unapatikana wapi kiongozi
  13. linyoto

    JamiiForums Tanzania Nauza Asali mbichi ambayo haijachakachuliwa hata

    Sidhani Sana Sana yatakuwa masimango[emoji16]
  14. linyoto

    JamiiForums Tanzania Nauza Asali mbichi ambayo haijachakachuliwa hata

    Sawa mkuu ngoja niwacheki
  15. linyoto

    JamiiForums Tanzania Nauza Asali mbichi ambayo haijachakachuliwa hata

    Za asubuhi wakuu, Kama Mada isemavyo, nauza ASALI mbichi ambayo haijachakachuliwa hata kidogo, baada ya kurudi kutoka kwa madiba aka bondeni wakuu Nilikuwa Sina Dili hapa mjini, baada ya kuwaza na kuwazua nikaona nije na wazo la biashara ya ASALI, likawa wazo na sasa ni biashara kamili...
Back
Top Bottom