Recent content by Lind say

  1. L

    Agizo la Waziri Mkuu: Wafanyabiashara watatu wakamatwa kwa kuficha mafuta ya kula mjini Songea

    Mkuu wa mkoa atakuwa na shida ya kifikra sio bure. Nilishangaa alivyokuwa amepanic na tuhuma kibao kwa mfanyabiashara. Wakikutana mahakamani kuu wa mkoa sijui atajificha wapi.
  2. L

    Kuchepuka raha

    so ndo umekuja kuhamasisha uchepukaji na uzinzi wako huku jf? Mungu anakuona - unavyoongea unaoneka wewe ndo chanzo cha matatizo maana sio kwa furaha iyo km umetiwa ndimu!!!
  3. L

    Wadada wanaokimbia ndoa zao na kwenda kuzaa nje, jifunzeni kwenye mgogoro wa Zari na Marehemu mumewe

    Alosema wana mgogoro wa mali ni nani au mnapenda kukuza mambo tu?
  4. L

    Mbunge Susan Lyimo: Kama kweli hostel za UDSM zimejengwa kwa Mil 500, nitatoa hela zijengwe zingine

    Kumbe ni sh ngapi? kama hana budgeti mbadala anyamaze tu sisi tunataka tujue kiasi halisi sio maneno.
  5. L

    Tetesi: Zinazodaiwa kuwa sababu za RC Meck Sadiki, Jaji Mujulizi na Jaji Upendo Msuya kuacha kazi

    sheria gani inazuia watu kuacha kazi? Serikali mkono mrefu km ni kweli watawapata tu .
  6. L

    KIBITI: Mwenyekiti wa CCM, Kata ya Mtunda auawa kwa kupigwa risasi

    Ee mungu tetea waja wako,sijui mkuu wa mkoa wa kipolisi aloteuliwa yuko wapi au naye amekimbia?
  7. L

    Wapenda ugali mpo?

    sio kwa kutamanishana kiivyo.
  8. L

    Lazaro Nyalandu: Nikiwa na mtoto Doreen Mshana tulipomtembelea hospitali

    Sasa hayo mambo ya visa kwa nini yanachukua muda mrefu kwa kitu urgent kam hicho,kweli no hurry in Africa.
  9. L

    Kama Kawaida watu na media za Magharibi zina Ripoti habari kwa Ushabiki majanga ndo wanayapenda

    Kama wameambiwa na chombo husika kuwa chanzo ni barabara bovu poa ila km wameriport bila udhibitisho ni lack of professionalism na serikali inaweza kufata hatua kulalamika. Tunapenda wariport habari lakini ni wajibu wao kubalance taarifa na kupunguza bias japo tunajua sio kazi nyepesi hasa...
  10. L

    Tukiachana na viongozi wa kitaifa..je ni raia wangapi wakifa hutangazwa msiba wa Kitaifa.?

    Tuwahifadhi watoto wetu na tuziombee familia zilizofikwa moja kwa moja na hili janga. Pia tuweke utaratibu wa kuangalia usalama wa watu barabarani na kuweka taadhari kwenye maeneo yenye shida, wahusika wa barabara wapitie maeneo ya barabara zetu mara kwa mara ili kuangalia maeneo yenye matatizo...
  11. L

    Kimenuka: Lady jay Dee afunguka, Atoa wosia wake siku akifa

    Kama ni kweli mungu atawaacha ,kuna siku ukweli utawekwa wazi kila mtu ataona na huo ndo utakuwa mwisho wao.
  12. L

    Picha: Mwili wa Mtanzania aliyesukumwa toka gorofani umewasili

    Poleni sana,mungu ampokee kwenye enzi yake na amfute machozi na maumivu aliyoyapitia kabla ya kifo chake.
Back
Top Bottom