mangelengele
JF-Expert Member
- Nov 4, 2014
- 1,293
- 1,096
Waafrika Tucvyopenda Kufanya Kazi, Mapumzko Kivipi? Wafiwa Wapo Kwenye Pilika Za Msiba, Viongozi Mbali Mbali Wapo Msiban Lkn Pia Wapo Kazin. Ss Ww Upo Kundi Gani? Kuna Kupumzika Kwenye Msiba? Kila M2 Kaguswa Na Huu Msiba, Hvyo Walio Kwenda Wametuwakilisha Maana Hatuwez Kwenda TZ Nzima, Tuliopo Sehemu Zetu Tuendelee Kufanya Kaz Kwan Ndo Uchumi Wa Taifa. Ss Wkt Dala Dala, Hosiptali, Polisi Nk Wanafanya Kaz, Kwann Cc Tupumzke?