Recent content by Lincolnboy

  1. L

    Mrejesho: Safari yangu ya kwenda kulima mkoa wa Katavi - Wilaya ya Tanganyika, kijiji cha Mwese 4

    Kaka ubarikiwe,kwa hongera kwa kupambana,mwenyez mungu akufanyie wepesi kwenye njia zako, Nataka kuuliza kwamba JE KILIMO CHA VITUNGUU MAJI HUKO WANALIMA????
  2. L

    Mrejesho: Safari yangu ya kwenda kulima mkoa wa Katavi - Wilaya ya Tanganyika, kijiji cha Mwese 4

    SOMO ZURI SANA MKUU,UMETUMBUA MACHO KAKA, VIPI MIUNDOMBINU YA BARABARA MVUA ZIKINYESHA KIPINDI CHA USAFIRISHAJI WA MAZAO KWA WAFANYA BIASHARA KUTOA MASHAMBANI KUPELEKA SENTA?
  3. L

    Mrejesho: Safari yangu ya kwenda kulima mkoa wa Katavi - Wilaya ya Tanganyika, kijiji cha Mwese 4

    KAKA UDONGO WA SEHEMU ULIYOLIMIA WEWE NI UDONGO WA RANGI GANI,NA JE! NI MFINYANZI,TIFUTIFU AU KICHANGA
  4. L

    Mrejesho: Safari yangu ya kwenda kulima mkoa wa Katavi - Wilaya ya Tanganyika, kijiji cha Mwese 4

    KAKA UDONGO WA SEHEMU ULIYOLIMIA WEWE NI UDONGO WA RANGI GANI,NA JE! NI MFINYANZI,TIFUTIFU AU KICHANGA?
  5. L

    SoC03 Kwanini katika jamii ya wamasai hakuna watu wenye ulemavu? Serikali inatakiwa kufanya nini ili kukabiliana na jambo hili kupitia utawala bora

    TATIZO HUJAFANYA UCHUNGUZI KWANZA HILO NDIO KOSA LAKO. UKWELI NI KWAMBA WAMASAI HUWA MTOTO AKIZALIWA NA ULEMAVU HUWA WANAMUUA...WANAIMANI KUA WAKIWA NA MTOTO MLEMAVU NI MIKOSI KATIKA FAMILIA/UKOO
  6. L

    True story: Babu yangu kama mshikaji wangu (2)

    Hii ya sasaivi ni part 2, Part 1 aliitoa mwezi wa 3 ilikua tamu kinoma alafu ilikua ni ndefu na vipande vyake ni virefu
  7. L

    True story: Babu yangu kama mshikaji wangu (2)

    Kaka weka ndefundefu Kama zile za part one
  8. L

    Mnaopiga kelele tujenge viwanda ili vijana wapate ajira mnajua malipo ya waajiriwa viwandani?

    SIO VIWANDA VYOTE MKUU,MWAKA 2012 NIMEFANYA KAZI KIWANDA CHA PPTL TANGA NILIKUA NAOPARET MACHINE..kwa mwezi nilikua na range Kati ya laki 6 Hadi 7,haiko pamanent Mana unalipwa kutokana na mita ulizozalisha,Yani supavaiza hua anarekod kila siku umezalisha mita ngapi,kwaio sio VIWANDA vyote pia...
  9. L

    Ni movie gani umewahi kuangalia ikakutoa machozi?

    Nawasalimu kwa Jina la jamiiforums, stori ziendelee. wana JF napenda sana muvi za hisia zile mtu unatazama hadi unatoka machozi. Tunaomba kwa yeyote anaezifahamu muvi za kutoa machozi aweke hapa jina la muvi tukazitafute.
  10. L

    Mayele Kuuzwa Bilioni 3.6 AS Vita Kuchota Milioni 800

    WAARABU HAWANUNUI WACHEZAJI, WAARABU WANANUNUA WATUMWA,
  11. L

    Tunauza Bidhaa za Solar na Tunafunga Solar System

    Mpo vizuri aisee na Bei zenu ni rafiki Sana,nimependa ,nitamitafuta mkuu
Back
Top Bottom