Kaka ubarikiwe,kwa hongera kwa kupambana,mwenyez mungu akufanyie wepesi kwenye njia zako,
Nataka kuuliza kwamba JE KILIMO CHA VITUNGUU MAJI HUKO WANALIMA????
SOMO ZURI SANA MKUU,UMETUMBUA MACHO KAKA,
VIPI MIUNDOMBINU YA BARABARA MVUA ZIKINYESHA KIPINDI CHA USAFIRISHAJI WA MAZAO KWA WAFANYA BIASHARA KUTOA MASHAMBANI KUPELEKA SENTA?
TATIZO HUJAFANYA UCHUNGUZI KWANZA HILO NDIO KOSA LAKO.
UKWELI NI KWAMBA WAMASAI HUWA MTOTO AKIZALIWA NA ULEMAVU HUWA WANAMUUA...WANAIMANI KUA WAKIWA NA MTOTO MLEMAVU NI MIKOSI KATIKA FAMILIA/UKOO
SIO VIWANDA VYOTE MKUU,MWAKA 2012 NIMEFANYA KAZI KIWANDA CHA PPTL TANGA NILIKUA NAOPARET MACHINE..kwa mwezi nilikua na range Kati ya laki 6 Hadi 7,haiko pamanent Mana unalipwa kutokana na mita ulizozalisha,Yani supavaiza hua anarekod kila siku umezalisha mita ngapi,kwaio sio VIWANDA vyote pia...
Nawasalimu kwa Jina la jamiiforums, stori ziendelee.
wana JF napenda sana muvi za hisia zile mtu unatazama hadi unatoka machozi.
Tunaomba kwa yeyote anaezifahamu muvi za kutoa machozi aweke hapa jina la muvi tukazitafute.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.