na hao wasichan waonadharau walimu ndo ile type ya wasichan wenye tamaa ya pesa n weny kupenda maisha ya starehe xo akiangalia kipato ch mwalim anaona km vile hakitatosheleza mfano kuna dada mmoja alimkataa mwl akamwambia sio wa hadhi yake but baada ya miaka kadhaa huyo mwl aljiendleza kimasomo...
huo uzur unaozungumzia ww hasa ni upi as l know uzur ni dhana telezi coz unaweza ukamwona mzur kumbe mwenzio kamwona wa kawaiiida,! kwani uzur wa mkakasi ndani kipande cha mti,love iz emotion na cku zote uzur wa mwanke tabia na kujiamini upooo to get ur future wife material mwombe sana mungu...
teaching iz proffesional ukivamia fani utaumia au km ulifata tu boom kwenye education but km ni ndan ya moyo burudan kabisa n kuvaa vizur ni dressing code mean code of ethics inayomtambulisha mwl anayejielewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.