JKT leo asubuhi tumepewa pass mpaka Jumanne

JKT leo asubuhi tumepewa pass mpaka Jumanne

Deadbody

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
4,292
Reaction score
6,693
Mambo si kitoto,6 weeks ni nouma aisee.

Wapi madoja na style yao ya vasco dagama,wapi kimbinyiko,wapi komsanga na genda genda,vp ile mvua ya juzi pamoja na na ile ya siku ya intro? (kurutu leo tunawapa pass muende mkaapply chuo j4 mrudi ila mkiwa safarini kwenye bus kuruta huruhusiwi kulala na kula njiani waziiiiiiiiii makuruta wote;

Wazi afande!
 
Genda genda????Hiyo itakuwa Mgambo

Major Kanole hajambo?
 
Kimbinyiko, makutupola dodoma,afande maganga na bustani zake yupo?
 
Upuuzi Huu
Ukipewa Pass Out Lazima Useme Humu
Hapo Makutopora Hujafundishwa
Ukaiva Vizuri Kuhusu Mambo Ya Huko
 
Ebna hii ni mgambo combania gan mbaba,machungwa yamekomaa

machungwa tulikula yote kipindi tunafika ila mengine yamechomoza pia intake yetu tumeanzisha shamba la migomba(migomba 5000) kule komsanga hvyo watakaokwenda intake zingine watakula na ndizi pia.mm n bravo coy
 
Poleni vijana mtamaliza tu msikonde, tena mjiunge na jeshi kabisaaa
 
Kila stage ya kuruti wa mgambo anapoanza au kumaliza lazma mvua kubwa inyeshe...me BRAVO platoon 3 tutakutana kweny doso
 
Pass mpaka juma nne pass gani wangewapa wiki Baba lkn najua mmejila ya kutosha hahaha na mapitishorti zenu msikunyue kwenye gari na kujamba, hovyo maana kurutu achelewi kujamba
 
Kila stage ya kuruti wa mgambo anapoanza au kumaliza lazma mvua kubwa inyeshe...me BRAVO platoon 3 tutakutana kweny doso

mm platoon 1 bro vp wale jamaa wapya wawil waliotupga doso kwenye mvua juzi? vp fungus kwenye miguu mkuu? vp yule matron wa juz mana dah ana roho mbya mno.wap mbug,matalya...
 
Back
Top Bottom