Kwa wana-Mwanza tunakumbuka vizuri uchaguzi mkuu wa 2010. Kama sio nguvu ya watu kushinikiza matokeo yatangazwe, Wenje alikuwa ameshakubali kupokea mlungula kutoka kwa Lau Masha. Kwa hiyo sishangai Wenje kuhusika na tuhuma za rushwa namna hii.
Yani ndugu yangu kamaliza UDOM 2014 lakini alipata mchongo akaenda nje ya nchi kabla ya kuchukua cheti chake. Sasa leo anafatilia cheti anaambiwa kuwa ana deni.
Cha ajabu receipt zote za malipo anazo na wala hakuwa na mkopo, ila wahasibu wanamkomalia alipe deni ndo apewe cheti.
Udom ni chuo...
Habari wadau.
Kuna huu ushuru ambao watu wenye magari wanalipishwa wanapokuwa wanaingia kwenye fukwe za bahari kwa maelezo kuwa ni ushuru wa halmashauri.
Nimemuhoji mmoja wa watoza ushuru ila hapa Mbezi beach ila majibu yake hayaeleweki.
Mi ningependa kujua, huu ushuru wanaokatisha kwa...
Habari ya mchana wakuu. Kuna mahali nimeona tangazo kwenye ukurasa wa kampuni fulani ila audio inayo play ni wimbo wa Taifa la Tanzania.
Naomba kufahamu, hii inaruhusiwa kisheria au kuna makatazo yake?
Ni ukweli usiopingika kuwa wachagga wamejikita kwenye utafutaji na hata kuwajengea watoto wao na wajukuu uwezo wa kutafuta mali. Ila kwenye swala la kuoa uchagani simshauri mtu wa jamii nyingine, japo unaweza kubahatika kupata mwenye tabia njema. Wao kwa wao wanabaguana, utaskia Mmarangu hataki...
Kuna mchungaji aliwahi kusema, "ukitaka kumuoa binti, muone mama yake" Mara nyingi vile binti atakavyokuwa ni kutokana na kile anachokiona baina ya wazazi wake. Tukubali au tukatae, tabia za watoto wengi ni urithi kutoka kwa wazazi. Kama mama anaamini kwenye ushirikina, halafu ukaoa binti yake...
Hapa ninavyosoma hii thread yako, inaita simu ya baba mdogo. Yuko kwenye 50s hapo. Ila kila week lazima atapiga kuomba elfu kumi/ishirini.
Bado ana nguvu kabisa za kufanya kazi, lakini naamini akili yake ameshaielekeza kwenye kuomba pesa ya kula. Niliwahi kumshauri walau aseme ni biashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.