Wewe una matatizo yako binafsi ya kutokufiatilia taarifa.mbona walisema kuwa kutakuwa nankufungwa kwa huduma mpaka jtatu.Ilibidi kujiongeza kufanya miamala kabla..na kwa taarifa yako maboresho yanaweza kukamilika jumatano.
Okay.Nadhani kuna cha kujifumza hapa.ukiwa na raisi mwehu halafu ana mamraka ya kufuta kazi kiongozi yoyote bila shida.basi siku mkipata raisi dhaifu uchumi umaweza kufa kwa maamuzi mabaya
Hapa ni serikali ndiyo iliyoomba msaada kwa public kusupport transport na meals. Serikali yetu ilianza zamani sana kushindwa kuhudumia watu wake. Yaani ilishindwa kumlipia ndege na hela ya ugali kweli mpka ilibidi serikali itangaze kuomba msaada huo. a bit of a shame
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.