Acheni zenu, kumbuka idadi ya wanawake popote pale ni kubwa kuliko wanaume. Mkitaka idadi iwe sawa na wanawake ni sawa na kusema mtaa mzima wanaume wote wawe na VVU na wanawake nusu ndo wawe na VVU
Michelle
Naomba kuchangia namba tano. Hivi mtu ananuka jasho kama hajaoga siku tano mi namvumiliaje? Shati lake mwenyewe mpaka akumbushwe kunyoosha. Yani kiufupi hapo ni utanashati tu ndo unafanya mtu akose nafasi wakati mwingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.