Recent content by lihema

  1. L

    Whatsapp notice

    Tufafanulieni mi naona nyota nyota tu hapa
  2. L

    Nini husababisha maziwa kulala?

    Kwa nini ukiwa mdogo unakuwa na nywele nyeusi, umri ukienda zinakua nyeupe? Vitu vingine viko nje ya uwezo wako mkuu.
  3. L

    Hivi wanawake Tanzania wanaongoza kuchepuka?

    Acheni zenu, kumbuka idadi ya wanawake popote pale ni kubwa kuliko wanaume. Mkitaka idadi iwe sawa na wanawake ni sawa na kusema mtaa mzima wanaume wote wawe na VVU na wanawake nusu ndo wawe na VVU
  4. L

    Kila msichana ninaekutana naye ananiambia tayari ana mpenzi

    Michelle Naomba kuchangia namba tano. Hivi mtu ananuka jasho kama hajaoga siku tano mi namvumiliaje? Shati lake mwenyewe mpaka akumbushwe kunyoosha. Yani kiufupi hapo ni utanashati tu ndo unafanya mtu akose nafasi wakati mwingine.
  5. L

    Natafuta mchumba

    Embu fanya kutoa sababu za kutaka mke wa pili kwanza
  6. L

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Tutoke kwenye huu uzi sasa inatosha. Mi wa mwisho
  7. L

    Exclusive: Jay Dee afunguka, atoa sababu za kuitosa ndoa yake

    Umemfanyaje mpaka unajistukia
Back
Top Bottom