Recent content by Life2

  1. Life2

    Marekani imetoa sehemu ya orodha ya makosa yaliyodaiwa kufanywa dhidi ya Wamarekani na utawala wa Iran

    Ikulu ya Marekani (White House) imetoa sehemu ya orodha ya makosa yaliyodaiwa kufanywa dhidi ya Wamarekani na utawala wa Iran (1/2): Novemba 1979: Wanafunzi wa Iran walioungwa mkono na utawala waliteka Ubalozi wa Marekani mjini Tehran — na kuwashikilia Wamarekani 66 mateka kwa siku 444. Aprili...
  2. Life2

    Wakatoliki mjiandae majaribu yataendelea sana

    Ndugu Wakristo Tumsifu Yesu Kristo. Poleni sana kwa imani yenu kuguswa na kujaribiwa, kumbukeni hata Bwana Yesu alijaribiwa mno na Shetani na mwishowe akashinda. Hata hawa mashetani wanaoibuka dhidi ya dini yenu Karne hizi watashindwa tena vibaya sana.Giza hajiwahi kushinda mwanga hata siku...
  3. Life2

    ‘Dada Mkatoliki’ akichangia kwenye kipindi cha 'Malumbano ya Hoja' kuelekea Uchaguzi 2025

    Sio dhambi kabisa kumbe siasa na imani vinafaa kuchanganywa siyo kaka
  4. Life2

    Wakatoliki mmewatambua watesi/maadui wa Imani yenu?

    Juu ya Mwamba huu ntalijenga kanisa langu wala milango ya kuzimu/shetani hatalishinda. Ni nyakati nyingine tena Kuzimu pamoja na Mashetani yake yameibuka tena wakitaka kupambana na Kanisa la Yesu mwenyewe. Waambieni watawala hawapambani na Wakatoliki bali wanapambana na Yesu Mfalme mwenyewe...
  5. Life2

    Leo wanawatumia kuandamana kesho watawatumia kwenye ajira, vyuoni na kwenye hospitali

    Ni jana tumeshuhudia wanaojiita wakatoliki feki wakiandamana kuelekea kwa Balozi Mwakilishi wa Baba Mtakatifu Tanzania. Mungu alivyokua wa Ajabu hata kabla ya Sinema zao kaamua kuwaaibisha, kwa ishara na matendo yao. Leo walioratibu huo mpango either wanatoka Serikalini au Chama cha Mapinduzi...
  6. Life2

    Viongozi Madikteta na kauli mbiu yao ya kulinda rasilimali

    Rais wako kashinda kwa asilimia ngapi, wewe Ges ya Mtwara unaifaidi vipi, Chuma, makaa ya mawe huku ukizidi kuishi kwenye umaskini wa kutupwa, Marekani ana demokrasia kweli na Kiboko ya madikteta uchwara.
  7. Life2

    Viongozi Madikteta na kauli mbiu yao ya kulinda rasilimali

    Dikteta ni nini/nani. ni mfumo ambapo kikundi cha watu wachache au mmoja wanatawala nchi kwa mtutu, wakiwa juu ya sheria, wakiua watawaliwa, kuteka, kubaka na hata kunyanganya mali za watu. Sifa kuu ya madikteta ni kuvishika na kuvitawala vyombo vya ulinzi na Usalama. Kwa nyakati za hivi...
  8. Life2

    Kanisa Katoliki limesema ukweli kwenye tawala katili na dhalimu mnoo Duniani

    Kanisa katoliki limeundwa kwenye misingi ya Haki, Utii, ukweli na kutetea uhai wa binadamu, wanyama na mazingira. Kutokana na misimamo yake Kanisa katoliki limejikuta likiwa na maadui wengi waovu nje na ndani ya kanisa. Hapa ndo tunaweza kutumia ile kauli waliomtesa na kumuua Bwana Yesu...
  9. Life2

    Kanisa Katoliki hapa Tanzania aliyekuwa na hekima kuliongoza ni Askofu Pengo tu wengine ni mipasho tu

    Kama Ccm ndo wamekununulia Mb uje ubishane na waelewa humu bado sana, wakurudishe shule ya Mwandiko kwanza. Uwekezaji wa Shs ngapi bwana Chawa.
  10. Life2

    Kanisa Katoliki hapa Tanzania aliyekuwa na hekima kuliongoza ni Askofu Pengo tu wengine ni mipasho tu

    Utakua wewe ndo Lucifer mwenyewe sasa kwa hiyo wewe watoto wako wakikwambia ukweli utaishia kuua wote. Mama yako ameamua kuwa chinjachinja siyo.
  11. Life2

    Kanisa Katoliki hapa Tanzania aliyekuwa na hekima kuliongoza ni Askofu Pengo tu wengine ni mipasho tu

    Shida ya kurukia imani za u ndo hii Pengo alikua Askofu wa Jimbo kuu Dar es salaam na sio kiongozi wa Katoliki Tanzania, Askofu ni kiongozi wa Mahalia Husika, Na kipindi cha Pendo kulikua hakuna unyama na ukatili kama wa sasa, Bandari hazikuuzwa, watu walikua hawatekwi, Wizi wa Kura wa mchana...
  12. Life2

    TEC ivunjwe imekiuka miiko ya Kikatoliki kwa kushindwa kueneza upendo kwa wote

    Ila unapenda watawala wanavyoua watanzania, ila unapenda watu kutekwa, ila unapenda wizi wa kura, Kasome Issya 54.14 utadhibitika katika #HAKI utakua mbali na kuonewa
  13. Life2

    TEC ivunjwe imekiuka miiko ya Kikatoliki kwa kushindwa kueneza upendo kwa wote

    Yaweza kuwa wewe ndo yule alikua na Mandevu kavaa jezi ya Yanga, yule shehe yeye alikua anafanya nini mpaka ukampiga risasa bwana Abdul
  14. Life2

    TEC ivunjwe imekiuka miiko ya Kikatoliki kwa kushindwa kueneza upendo kwa wote

    Hahahaa unajitaidi san Bwana Abdul kuandika Pumba.
  15. Life2

    TEC ivunjwe imekiuka miiko ya Kikatoliki kwa kushindwa kueneza upendo kwa wote

    Wale mashehe waliosema waandamani wachinjwe wanawakilishi dini gani
Back
Top Bottom