Ikulu ya Marekani (White House) imetoa sehemu ya orodha ya makosa yaliyodaiwa kufanywa dhidi ya Wamarekani na utawala wa Iran (1/2):
Novemba 1979: Wanafunzi wa Iran walioungwa mkono na utawala waliteka Ubalozi wa Marekani mjini Tehran — na kuwashikilia Wamarekani 66 mateka kwa siku 444.
Aprili...
Ndugu Wakristo Tumsifu Yesu Kristo.
Poleni sana kwa imani yenu kuguswa na kujaribiwa, kumbukeni hata Bwana Yesu alijaribiwa mno na Shetani na mwishowe akashinda.
Hata hawa mashetani wanaoibuka dhidi ya dini yenu Karne hizi watashindwa tena vibaya sana.Giza hajiwahi kushinda mwanga hata siku...
Juu ya Mwamba huu ntalijenga kanisa langu wala milango ya kuzimu/shetani hatalishinda.
Ni nyakati nyingine tena Kuzimu pamoja na Mashetani yake yameibuka tena wakitaka kupambana na Kanisa la Yesu mwenyewe.
Waambieni watawala hawapambani na Wakatoliki bali wanapambana na Yesu Mfalme mwenyewe...
Ni jana tumeshuhudia wanaojiita wakatoliki feki wakiandamana kuelekea kwa Balozi Mwakilishi wa Baba Mtakatifu Tanzania.
Mungu alivyokua wa Ajabu hata kabla ya Sinema zao kaamua kuwaaibisha, kwa ishara na matendo yao.
Leo walioratibu huo mpango either wanatoka Serikalini au Chama cha Mapinduzi...
Rais wako kashinda kwa asilimia ngapi, wewe Ges ya Mtwara unaifaidi vipi, Chuma, makaa ya mawe huku ukizidi kuishi kwenye umaskini wa kutupwa, Marekani ana demokrasia kweli na Kiboko ya madikteta uchwara.
Dikteta ni nini/nani. ni mfumo ambapo kikundi cha watu wachache au mmoja wanatawala nchi kwa mtutu, wakiwa juu ya sheria, wakiua watawaliwa, kuteka, kubaka na hata kunyanganya mali za watu.
Sifa kuu ya madikteta ni kuvishika na kuvitawala vyombo vya ulinzi na Usalama.
Kwa nyakati za hivi...
Kanisa katoliki limeundwa kwenye misingi ya Haki, Utii, ukweli na kutetea uhai wa binadamu, wanyama na mazingira.
Kutokana na misimamo yake Kanisa katoliki limejikuta likiwa na maadui wengi waovu nje na ndani ya kanisa.
Hapa ndo tunaweza kutumia ile kauli waliomtesa na kumuua Bwana Yesu...
Shida ya kurukia imani za u ndo hii Pengo alikua Askofu wa Jimbo kuu Dar es salaam na sio kiongozi wa Katoliki Tanzania, Askofu ni kiongozi wa Mahalia Husika,
Na kipindi cha Pendo kulikua hakuna unyama na ukatili kama wa sasa, Bandari hazikuuzwa, watu walikua hawatekwi, Wizi wa Kura wa mchana...
Ila unapenda watawala wanavyoua watanzania, ila unapenda watu kutekwa, ila unapenda wizi wa kura,
Kasome Issya 54.14 utadhibitika katika #HAKI utakua mbali na kuonewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.