Mkuu pole sana kwa uraibu unaokutesa.
Shida kubwa ninayo iona ni kwamba hujakubali kuwa umepigwa badala yake unapambana ili urudishe kilicho chako kitu ambacho ni kosa kubwa unafanya.
kwanza kubali kuwa umepigwa hizo ulizopigwa na huna namna ya kuzirejesha ifanye kuwa hasara maishani kwako...
Wakuu nina king'amuzi cha Azam lakini nina changamoto moja ya channel za MBC kutokushika na ikitokea zimeshika basi zinakuwa zina kwama kwama sana naomba msaada shida inaweza kuwa nn
hapa chini nimeweka picha za settings zilivyo
wakuu naomba kuuliza kwa wale wanaofuata barua utumishi na huna kitambulisho ila una namba ya NIDA jee kuna ugumu wowote unatokea na kama upo solution yake ni ipi maana kwenye interview unaweza enda na barua ya utambulisho basi unakuwa ume solve hilo
Duuh! kumbe mimi ndie niliomba msaada wa namna ya kutengeza API?
Yote kwa yote asanteni sana wakuu maana kwa sasa nazishusha kwa kutumia Java na framework ya Spring-boot
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.