Recent content by Life starts at 45

  1. L

    Naombeni Msaada Niweze kuacha Kamari ya Aviator, Maisha yangu hayaendi vizuri, Kamari hii Inataka kunitoa Roho

    Mkuu pole sana kwa uraibu unaokutesa. Shida kubwa ninayo iona ni kwamba hujakubali kuwa umepigwa badala yake unapambana ili urudishe kilicho chako kitu ambacho ni kosa kubwa unafanya. kwanza kubali kuwa umepigwa hizo ulizopigwa na huna namna ya kuzirejesha ifanye kuwa hasara maishani kwako...
  2. L

    Clearing Forwarding Agent.

    mkuu na kutoa gari ni shingapi?
  3. L

    African Satellite World and Sat Gear

    Wakuu nina king'amuzi cha Azam lakini nina changamoto moja ya channel za MBC kutokushika na ikitokea zimeshika basi zinakuwa zina kwama kwama sana naomba msaada shida inaweza kuwa nn hapa chini nimeweka picha za settings zilivyo
  4. L

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    wakuu naomba kuuliza kwa wale wanaofuata barua utumishi na huna kitambulisho ila una namba ya NIDA jee kuna ugumu wowote unatokea na kama upo solution yake ni ipi maana kwenye interview unaweza enda na barua ya utambulisho basi unakuwa ume solve hilo
  5. L

    Naomba kuelekezwa namna ya kutengeneza API

    Duuh! kumbe mimi ndie niliomba msaada wa namna ya kutengeza API? Yote kwa yote asanteni sana wakuu maana kwa sasa nazishusha kwa kutumia Java na framework ya Spring-boot
  6. L

    Chanika ni kama unaenda mkoa mwingine

    vipi distance Kibaha - Posta sio mbali sana
  7. L

    Chanika ni kama unaenda mkoa mwingine

    Mkuu kwa mtu anaejitafuta unashauri achukue wapi kiwanja sasa maana mimi nilianza kufikiria huko chanika
  8. L

    Telegram inafanya kazi kwenu ndugu zanguni?

    For Education purpose only. Washa VPN uhame nchi kidogo.
Back
Top Bottom