Recent content by LICHAH

  1. L

    Passport: Maombi ya Hati ya Kusafiri ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Hodi wana jamvi, mwaka jana mwezi wa saba, Niliomba paspoti huku mkoani napoishi, madhumuni ya paspoti hiyo ilikuwa nikwa ajili ya kwenda masomoni. Niliambatanisha kila document iliyotakiwa, na nilichukuliwa hadi alama za vidole lakini mwisho wa siku nikaambulia patupu. Nilijaribu kufuatilia...
  2. L

    Tanzanian socialite, Mange Kimambi apewa talaka rasmi

    [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  3. L

    AJALI: Lori laanguka katika Daraja la Nyerere(Kigamboni) jijini Dar usiku huu

    Nahis hapa Tanzania kuna mzimu wa ajali. Si bure
  4. L

    Natafuta kazi

    Pole sana ndugu yangu, kwa jinsi ulivyojieleza, nimejikuta nabubujikwa na huruma. Mbali na udreva, fani yako nyingine uliyosomea niipi?
  5. L

    Uandikishaji wa wapiga kura 2015

    hahahahahahaha........... umeua kabisa
  6. L

    I am looking for graduates and anyone who is looking for job

    Pwipwipwipwi....................!
  7. L

    Msaada wa kazi tafadhali

    how? au unataka umpe mtaji!!!
  8. L

    Interview TBS, maswali yanakuwa tofauti kulingana na utofauti wa degree au ni general?

    inategemeana na tasisi husika. wanaweza,toa maswali ambayo ni general kwa wote, mfano BAM na ENGLISHI tu
  9. L

    TBS kimenuka interview

    Wadau hii inakera kama siyo kuchosha. Kwa vile TZ kuna uhaba wa ajira basi taasisi za serikali zimeona ni vema kuendelea kuwasumbua watanzania kwa kumuita kila muombaji wa kazi kufanya usaili. Nimeshangazwa sana na TBS, nafasi ya watu 10 mnaitwa 752' mh kunahaja ya serkali kuziwajibisha taasis...
  10. L

    Jobless-Graduates Association Press conference

    Hapa wadau mmenifundisha kitu, cc tumetelekezwa mtaani wao wanakula tu, tena baadhi yao ni undercolified. Alafu walivyo wa ajabu, ajira wanazibana makusudi kwa watoto wawalala hoi huku watoto wao wananeemeka. naungamkona hiyo chama.
  11. L

    Haya kazi kwako

    JamiiForums.com Earn 10$ for every 30 second Task. Internet Job from home
Back
Top Bottom