Hodi wana jamvi, mwaka jana mwezi wa saba, Niliomba paspoti huku mkoani napoishi, madhumuni ya paspoti hiyo ilikuwa nikwa ajili ya kwenda masomoni. Niliambatanisha kila document iliyotakiwa, na nilichukuliwa hadi alama za vidole lakini mwisho wa siku nikaambulia patupu. Nilijaribu kufuatilia...
Wadau hii inakera kama siyo kuchosha. Kwa vile TZ kuna uhaba wa ajira basi taasisi za serikali zimeona ni vema kuendelea kuwasumbua watanzania kwa kumuita kila muombaji wa kazi kufanya usaili.
Nimeshangazwa sana na TBS, nafasi ya watu 10 mnaitwa 752' mh kunahaja ya serkali kuziwajibisha taasis...
Hapa wadau mmenifundisha kitu, cc tumetelekezwa mtaani wao wanakula tu, tena baadhi yao ni undercolified. Alafu walivyo wa ajabu, ajira wanazibana makusudi kwa watoto wawalala hoi huku watoto wao wananeemeka. naungamkona hiyo chama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.