Recent content by Libertatem Pugnator

  1. L

    JamiiForums Tanzania Watu wanajua kutunza aisee

    Kwamba TISS inanunua na kutumia magari kama hayo? Hivi nyie watu huwa mnawaza nini? Mnaamini kuwa hawa watu ni so reckless kutumia vitu ambavyo ni suspicious hata kwa mtu wa kawaida tu? Yaani watake kuficha identities zao lakini wanazificha kwa kutumia uficho ambao ni so obvious and suspicious?
  2. L

    JamiiForums Tanzania Wazawa wa Dar (wazee wa vigoma) wametu-save sana tulipokuwa chuo

    Mkuu utetezi wako uko very illogical. Well, let's agree kuwa Wazaramo mpo btn 900,000 mpaka 1,200,000. Then population ya wakazi wa Dar ni 6,000,000. Kwa utetezi wako ambao uko completely illogical unataka kusema wakazi wote wa Dar huwa wanacheza hivyo vigoma? And come to your conclusion kuwa...
  3. L

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Birthday aliyohudhuria Kagame yawafungua Waganda macho, ni maandalizi ya mtu kurithishwa urais na sio vinginevyo

    Labda ni Mganda huyu. Maana jamaa Kiswahili hawajui, Kiingereza hawajui
  4. L

    JamiiForums Tanzania Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

    Mtu yeyote mwenye akili anaweza kuelewa nilichoandika na akapata crystal clear message. Kwa ambaye hana akili lazima aandike kama ambacho umekiandika. Sasa sijui upo kwenye kundi la wenye akili ama lah
  5. L

    JamiiForums Tanzania Ni muda wa simba sasa kujifunza kutoka kwa watani zao Yanga

    👏👏👏👏
  6. L

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Unasemaje kuwa hakuna kombora kama hilo duniani wakati tayari umeshaliezea na you know it already exists!?
  7. L

    JamiiForums Tanzania Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

    What a brainless idiot in you? Is a dead man reaping anything? What are your insults doing to him. If at all you couldn't criticise him while he still was alive, then what impact on him will your critics have? You heedless fools are so much disgusting and nauseating. We've national important...
  8. L

    JamiiForums Tanzania Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

    So many words without any substantial argument. Just bluffing
  9. L

    JamiiForums Tanzania Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

    Mkuu, wengine haya mambo tulianza kuyapigia kelele toka mwanzo lakini tukaambiwa ni Sukuma Gang ilhali tulipinga mambo mengi sana yaliyokuwa yakitendeka chini ya Hayati Magufuli. After his demise tuliamua kukaa kimya maana tulijua there's nothing could be undone after he was gone. Tukaamua...
  10. L

    JamiiForums Tanzania Aibu: Picha za Mameya wa jiji la Dar tokea Uhuru zimebandikwa ukumbi wa Karimjee isipokuwa ya Isaya Mwita

    It's a year now tangu mzee wa watu afariki. Ninaamini sasa hivi watu mnalamba asali. So definitely picha hiyo aliyezuwia isiwepo sasa hayupo. Au wanaogopa wakiiweka atafufuka?
  11. L

    JamiiForums Tanzania Aibu: Picha za Mameya wa jiji la Dar tokea Uhuru zimebandikwa ukumbi wa Karimjee isipokuwa ya Isaya Mwita

    Usijali mkuu....... Mama yuko anaponya nchi
Back
Top Bottom