kwa magumashi aliyopiga huyu dogo kwa mgongo wa baba yake akiwa ikulu anatakiwa ambulance kila wilaya Tanzania nzima .. ya jimboni kwake ni suna ndogo sana
aisee you made my day kwa kweli .. ts tru wapo ambao wakiona mapenzi hayana maisha yataisha siku si nyingi anajifanya anakupenda sana anaukoleza moto wa mapenzi anakukopa kibunda then anapita hivi .. ndo kashachukua kiinua mgongo chake! dah dunia hadaa ....
I think its a kind of custom embraced differently by different people .. usishangae kusikia wapo wazee wenye special toilet room zao hahaaa (not in self contained bedroom)
nimesoma kwa kina wasifu wake .. it seems as if ni miongoni mwa wanazuoni ambao hawakutumika ipasavyo kwa manufaa ya nchi en probably ths was intentionally kwa damu ya kimageuzi na mfumo kandamizi wa awamu za awali .. good that he keep the spirit en today UKAWA here we are! I wish rest in peace...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.