Genius thoughts, sasa kwa kijana ninaye taka kuingia % kwenye kilimo nini hasa cha kuzingatia ? nikiwa sina uzoefu na ujuzi wa kilimo lakini nime kuwa INSIPIRED na wewe I can say.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa kabisa Ontario, kama vijana wenzio utamshauri nini kijana aliyeajiriwa and at the same time anataka kuanzisha kilimo lakini hana usimamizi madhubuti na ujuzi wa shambani ? Je, nini hasa azingatie anapo anza biashara ya kilimo ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Lissu si mtanzania mwema. Ni mtu hatari kwa usalama wa nchi na ustawi wake.
Tarehe 24.3.2017 katika hotel ya Golden Tulip alikutana Na wakandarasi waliokuwa wakifanya kazi katika kampuni iliyosimamishwa kwa kukosa weledi katika kazi,
Miongoni mwa wahandisi aliokutana nao ni wafuatao
1. Allan...
Mungu wa Paulo ndo Mungu wa Daudi ndo Mungu wa John mnayemwita Yohana wa wayaudi. Someni Yohana Mtakatifu hasa kuanzia mstari wa 19.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ROMA Alishasema hataki kuhangaika na soko la mpaka awakilishe waTZ kwan muzik wake ni wakuwakilisha wananchi kwa viongozi. Pia hiyo ya melody ni ID yake kwenye uwasilishaji angalia kwenye nyimbo zingine za kucheza alizotoa ametumia melod nyingine
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.