posting your lover is optional depending on your peers,interests(lifestyles) e t.c.To me it doesn't matter though she always complain of not posting and she really know i do love her.
nagundua pia watz wenyewe hawajiamin hata wasomi naona kama wanaogopa juu ya ishu ya kunyimwa hela, kama mtu an akili zake timamu ataelewa nin kiko kwenye hii thread ,naona watu wanaleta negativity kwa mambo ya muhim kama wao si watz na kushangilia kana kwamba inayokomeshwa ni ccm au uncle...
mtoa maada ana mawazo binafsi..ila ni jambo la kawaida sana na wenda likawa na maana au lisiewe na maana,why asking silly questions in this free world? kama wewe hupendi acha na wanaopenda waendelee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.