Wana jf jana mtoto wa kaka yangu aliniuliza swali je east africa kuna nchi ngapi? nikamjibu tatu nazo ni tanzania,kenya na uganda.akaniambia nimekosa swali akasema east africa kuna nchi tano nazo ni tanzania,kenya,uganda,burundi na rwanda nikamuuliza ndio mlivofundishwa shuleni akasema ndio,lkn...