Uko sahihi sana Mkuu. Nadhani ilikuwa ni vyema zaidi kumshukuru MUUMBA wako kwa dhabihu/Sadaka na sio wewe kupokea hela au zawadi. Ikiwezekana na hao wadau wako pia wamshukuru MUNGU pamoja na wewe kwa njia hiyo hiyo ili kukuombea umri mrefu zaidi na heri na fanaka.
MOSHI HEALTHY CENTRE
Daktari wa Jioni ya leo tarehe 04th September 2023 ni ovyo kabisa.
Wagonjwa tumekaa masaa mawili nje tunasubiria kumuona; yeye yuko busy na marafiki zake wanapiga soga Ofisini.
Kisha ukimuendea, anamuita mgonjwa wake ambaye wana appointment binafsi.
Nimeshuhudia wagonjwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.