hili niswali linalo paswa kuulizwa na yatu bidi tufikilie kwa umakini je wasomi tulio nao katika taifa hili wana lisaidia taifa au wana lianga miza taifa maana toka na zaliwa mpaka leo sija wahi kuona wakija na solution za matatizo nikianza na katiba sifuri impact hamna je wadau tufanyaje??
Tuna endelea mara zote tunapo fikilia dini zetu wakati mwanzo kabla ya wakoloni ismail na john waleo tulikua tukitumia majina asili tena yasiyo na utofauti wa kiimani na baada ya hawa wakoloni kuingia na kuleta dini tukaanza kuji tofautisha kwa dini wakati mwanzo kulikua hamna hilo napia wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.