Tunakosea kwa kuangalia udini ndani ya katiba!

Tunakosea kwa kuangalia udini ndani ya katiba!

lerai

Member
Joined
Oct 6, 2012
Posts
63
Reaction score
5
Tuna endelea mara zote tunapo fikilia dini zetu wakati mwanzo kabla ya wakoloni ismail na john waleo tulikua tukitumia majina asili tena yasiyo na utofauti wa kiimani na baada ya hawa wakoloni kuingia na kuleta dini tukaanza kuji tofautisha kwa dini wakati mwanzo kulikua hamna hilo napia wote tuna muita mungu na tuna amini ni watoto wa baba mmoja kwanini tuna tafuta utofauti wetu kwenye dunia yaleo je dini ndio sababu na kwanini dini zina kuwa sababu za kuto jariana au ndio mimi na wewe tuna poteza maana ya imani?
 
Tuna endelea mara zote tunapo fikilia dini zetu wakati mwanzo kabla ya wakoloni ismail na john waleo tulikua tukitumia majina asili tena yasiyo na utofauti wa kiimani na baada ya hawa wakoloni kuingia na kuleta dini tukaanza kuji tofautisha kwa dini wakati mwanzo kulikua hamna hilo napia wote tuna muita mungu na tuna amini ni watoto wa baba mmoja kwanini tuna tafuta utofauti wetu kwenye dunia yaleo je dini ndio sababu na kwanini dini zina kuwa sababu za kuto jariana au ndio mimi na wewe tuna poteza maana ya imani?

Makosa yaliyofanyika ya kuruhusu dini ndio yametufikisha hapa, tulipaswa kuweka sheria mapema kabisa kuwa suala la dini ni imani na kwamba mtu hataruhusiwa kumbughuzi mwingine eti tu kwa sababu anasali(kumbuka saa 10 halfajiri),Kinachofanya dini sasa iwe issue sensitive ni vitendo vinavyofanywa na wafuasi wa dini hizo wakisingizia imani zao zinawaruhusu. Ni wakati sasa sheria iseme specifically kuwa serikali haina dini isipokuwa wananchi wake na kwamba mtu atalindwa kwa imani yake lakini si wajibu wa serikali kuanzisha au kusimamia taasisi fulani ya kidini. Nchi ambazo dini fulani haijaingia wananchi wake wanaishi kwa amani sana(nazungumzia kutouawa sio uchumi), lakini zile ambazo kuna dini hizo maisha yao ni ya mashaka kila kunapokucha.Tangu dunia hii inatambuliwa dini hazijawahi kuleta amani hata siku moja, kuna zingine ndio zenye slogans za kuchochea mauaji,vita,ulipizaji kisasi na maasi mengine, je ndio kusema mungu anayeabudiwa sio yule wa mbinguni? kama hivyo sivyo kwa nini sasa dini haiwasaidii kuwa watu wenye amani?au ndio kushindwa kutambua ukweli kuhusu dini?
 
Back
Top Bottom