Recent content by leontiff

  1. L

    Kuna tofauti yoyote kati ya Over The Counter Market(OTC) na server za MT4 za FX brokers?

    Over the counter(OTC) ni financial instruments ambazo ni negotiable and kuna kuwa na right and obligation ya kununua na kuuza mfano forex, interest derivatives na kama sijakosea pamoja na swaps and forwards
  2. L

    Waliojenga mwaka 2021 tunaomba uzoefu wenu

    habari za Jioni wadau leo nimepeleka fundi site kwa hii ramani labour charges kadai 1.5m kwa msingi pekee
  3. L

    Mada: Fahamu mambo mbalimbali kuhusu gari aina ya Subaru Forester

    Gari liko sawa ni almost mwezi na hilo tatizo halipo
  4. L

    Mada: Fahamu mambo mbalimbali kuhusu gari aina ya Subaru Forester

    Nikipiga starter gari linawaka then linazima nikijaribu tena linawaka vzuri ila nikizima nikapiga starter hilo tatizo linajitokeza na dashboard iko clean pia after service gari limeoshwa
  5. L

    Mada: Fahamu mambo mbalimbali kuhusu gari aina ya Subaru Forester

    Msaada wana jamvi leo nimetoka kufanya service ya gari sasa fundi alidisconect battery a badae akairudisha ila jioni hii nikiwasha gari linajizima lenyewe ni subaru forester
  6. L

    Gia kuwa ngumu kwenye subaru forester 2010

    Ni automatic transmission nitaka kuondoa gari kutoka kwenye parking kuja kwenye drive ndo napata tatizo kama nilivyoeleza hapo juu
  7. L

    Gia kuwa ngumu kwenye subaru forester 2010

    Habari za asubuhi naomba msaada napata shida kuingiza gia gari nalotumia ni subaru SHJ 2010 forester Nimeangalia transmission fluid iko sawa
  8. L

    Nahitaji mwanamke wa kuwa mchepuko umri 20-25

    Nahitaji mwanamke ambae atakuwa mchepuko niko tayari kuwa nampa hela ya mtumizi 500k kila mwezi awe na vifutavyo *mweupe mwenye tako *awe anajua mapenzi *awe mrefu na pia ajue kuendesha gari
  9. L

    Kuanzisha Duka la vifaa vya umeme na Plumbing

    Habari za Mchana wadau. Msaada wenu, nina milioni15 niko Dar es salaam nataka kuanzisha duka la kuuza vifaa vya umeme pamoja na plumbing naomba kujua vifaa gani vinatoka sana pamoja na changamoto za hii biashara.
  10. L

    Benki gani yenye makato ya mwezi kidogo kuliko benki nyingine au isiyo na makato kabisa?

    Mitandao ya simu Risk ni kubwaa sana ya kupoteza hela na kwa mtu mwenye hela na anajua maana ya hela huwezi kuweka savings zako labda 10M kwenye simu that will be ridiculous and very Risk
  11. L

    Benki gani yenye makato ya mwezi kidogo kuliko benki nyingine au isiyo na makato kabisa?

    Hujui chochote kuhusu Banking sector kwa last year CRDB ilikuwa ya pili angalia Bank kama stanchart ana branch4 tuu lakini katengeneza 38bln shilings na wewe una branch zaidi ya 150 umetengeneza 112bln sasa kwenye ROI nani ana competitive advantage
  12. L

    Benki gani yenye makato ya mwezi kidogo kuliko benki nyingine au isiyo na makato kabisa?

    Are you sure unachokiongea 80% of Banking transactions hivi ulichokiandika umekisoma vzuri
  13. L

    Rwanda secures dry port in Kenya

    Jibu hoja unasema unatuzidi uchumi mara mbili wakati juzi tuu IMF imekupa onyo kuhusu Deni lako la ndani na wamesema ni dhahiri mtashindwa kulipa pensions ndani ya muda mfupi
  14. L

    Rwanda secures dry port in Kenya

    Wacha kuwa mpumbavu wewe unasema una uchumi mkubwa kuliko jirani yako wakati hata kufanya development infrastructure ya $1.9 billion huwezi na unasema vipi una uchumi mkubwa wakati unaelekea kushindwa ku service deni lako hizi Data mnazopika ni mbaya sana
Back
Top Bottom