naona walimtuma mama dangote kuwakilisha.
sema jamaa kuna mda nao wana mashauzi sana, kama ni swala la ustaa, basi wangetuma hata managers wao walete salamu kwa niaba yao, angalau kuonesha kushirikiana na wengine kwenye majonzi na furaha, sio kujiona superbrand, hutak kuonekana public burebure...
kama viongozi wa simba hawata umia na kufanya kinachotakiwa, basi wanastahili kutolewa madarakani.
hii ndo simba mbovu kuliko zote katika hii karne ya 21... imejaa wazee wanaostahili kupumzishwa sasa baada ya kuipambania simba miaka mingi mfululizo, imejaa wachezaji wenye viwango vidogo kuliko...
unahitaji daktari bingwa wa magonjwa ya moyo, wabobezi zaidi wako Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI), tiba ya uhakika sio rahisi, inategemea na umri, na factors zilizopelekea hyo shida, ila the aerlier the better, waone wataalamu
ushamba, ujinga, uzumbukuku .... nyie waznz acheni unafki, kutwa kufir##a ila kipind cha ramadhan mnajifaanya malaika wa peponi, amin amin nawaambia Mungu huangalia moyo na sio matendo yenu ya kinafki kama hamna imani kulishinda jaribu la anayekula kimpango wake, sasa mwafanya ibada gani?
ila mo kwa kudeka tushamzoea, hata huko simba hulalamika kila siku na kutishia kujitoa pale anapokutana na vikwazo, naona ndio style yake ya kutuma ujumbe pale matakwa yake yasipofuatwa, serikali ikae nae chini iangalie nani anamsumbua tajiri, ashughulikiwe maisha yaendelee. muda ameajiri watu...
Ladies, believe in your guys, wacheni tamaa kuwatamani waliofanikiwa, kwa waliofanikiwa nyie ni sidechicks tu, ila kwa wanaojitafuta wenye akili na malengo nyie ni queens, trust the process
una minyaminya nyanya, unachukua biringanya..
kimsing wanaoathirika kimwili na kisaikolojia kwenye hzi onja onja campaign ni wanawake, kwahyo kila anayekutongoza akakukaze kwanza kama hakufikisha achana nae kakazwe na mwingine mpk umpate konk masta, ukikutana na konk masta naye sio muoaji ni...
hyo fomu ni bilion ngap ambayo rais hana uwezo wa kuitoa, mpaka watu wajifanye kumchangia, kwanza muda wa hizo endorsment haujafika, shobo za wabongo ni too much.
Simba defence sio mbaya, golini akikaa lakreb, kati inonga na che malone, pemben shabalala na isra, sio kubaya... stress ni kule mbele, timu haina striker kabisa, magoli tunategemea kwa chama na saidoo... hapo ndo pananipa mashaka jins gan simba itashinda.
ila vita ya simba na aly ahli sio tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.