Recent content by Leonardo Harold

  1. L

    Kwanini Diamond platnumz anajitenga sana na wasanii wenzie

    naona walimtuma mama dangote kuwakilisha. sema jamaa kuna mda nao wana mashauzi sana, kama ni swala la ustaa, basi wangetuma hata managers wao walete salamu kwa niaba yao, angalau kuonesha kushirikiana na wengine kwenye majonzi na furaha, sio kujiona superbrand, hutak kuonekana public burebure...
  2. L

    Yanga yaweka Bango tena baada ya kuwafunga Simba 7-2 kwa msimu 2023/2024

    kama viongozi wa simba hawata umia na kufanya kinachotakiwa, basi wanastahili kutolewa madarakani. hii ndo simba mbovu kuliko zote katika hii karne ya 21... imejaa wazee wanaostahili kupumzishwa sasa baada ya kuipambania simba miaka mingi mfululizo, imejaa wachezaji wenye viwango vidogo kuliko...
  3. L

    Sinus bradycardia, left ventricular hypertrophy, primarily ventricular complexes tiba yake ni nini?

    unahitaji daktari bingwa wa magonjwa ya moyo, wabobezi zaidi wako Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI), tiba ya uhakika sio rahisi, inategemea na umri, na factors zilizopelekea hyo shida, ila the aerlier the better, waone wataalamu
  4. L

    Unamletea kisirani anayekula, kwani wewe nani alikulazimisha ushinde na njaa tena ikiwa umekula usiku kucha?

    ushamba, ujinga, uzumbukuku .... nyie waznz acheni unafki, kutwa kufir##a ila kipind cha ramadhan mnajifaanya malaika wa peponi, amin amin nawaambia Mungu huangalia moyo na sio matendo yenu ya kinafki kama hamna imani kulishinda jaribu la anayekula kimpango wake, sasa mwafanya ibada gani?
  5. L

    Mwamba hajawahi piga mswaki

    kwani kilimkuta nini
  6. L

    Kwanini MO Dewji anataka kufunga kiwanda chake cha chai Nchini Tanzania? Bashe amgomea!

    ila mo kwa kudeka tushamzoea, hata huko simba hulalamika kila siku na kutishia kujitoa pale anapokutana na vikwazo, naona ndio style yake ya kutuma ujumbe pale matakwa yake yasipofuatwa, serikali ikae nae chini iangalie nani anamsumbua tajiri, ashughulikiwe maisha yaendelee. muda ameajiri watu...
  7. L

    Mwanaume akikuambia, kuna mchongo naskilizia muwe mnaelewa

    Ladies, believe in your guys, wacheni tamaa kuwatamani waliofanikiwa, kwa waliofanikiwa nyie ni sidechicks tu, ila kwa wanaojitafuta wenye akili na malengo nyie ni queens, trust the process
  8. L

    Mchungaji awashauri wachumba kutest mitambo kabla ya kuoana; adai yeye alitest ya kwake

    una minyaminya nyanya, unachukua biringanya.. kimsing wanaoathirika kimwili na kisaikolojia kwenye hzi onja onja campaign ni wanawake, kwahyo kila anayekutongoza akakukaze kwanza kama hakufikisha achana nae kakazwe na mwingine mpk umpate konk masta, ukikutana na konk masta naye sio muoaji ni...
  9. L

    Wabunge waliojiongezea mshahara hawajamchangia Rais Samia fomu. Walimu wanao lipwa pesa ya pipi wanamchangia fomu

    hyo fomu ni bilion ngap ambayo rais hana uwezo wa kuitoa, mpaka watu wajifanye kumchangia, kwanza muda wa hizo endorsment haujafika, shobo za wabongo ni too much.
  10. L

    Ushauri kwa watumishi wa TPA

    hakuna namna, mwarabu ndio boss mpya wa bandari, waungane nae tu, muhimu mkataba uwe fair, na serikali iweke terms zake kwa sheria za nchi yetu.
  11. L

    Uchambuzi: Ni mjinga tu ataamini Simba wata droo au kuifunga Al ahly

    Simba defence sio mbaya, golini akikaa lakreb, kati inonga na che malone, pemben shabalala na isra, sio kubaya... stress ni kule mbele, timu haina striker kabisa, magoli tunategemea kwa chama na saidoo... hapo ndo pananipa mashaka jins gan simba itashinda. ila vita ya simba na aly ahli sio tena...
  12. L

    Namna Faza Nelly alivyouawa kwa kuchomwa visu 9

    RIP FAZA NELLY, wema ndo ulikuponza.
  13. L

    Bunge lakanusha Kauli ya Mbowe kuwa Mshahara wa Wabunge umepanda kutoka Tsh Milioni 13 hadi 18

    kama mbowe ni muongo aitwe mbele ya kamati ya bunge kudhibitisha au kuadhibiwa.
Back
Top Bottom