Recent content by Leonard Waziri

  1. Leonard Waziri

    Natafuta joining instruction ya Chuo cha Maruku - Bukoba

    Naomba anisaidie au hata mawasiliano ya karibu na chuo hicho
  2. Leonard Waziri

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    MWENYE RASIMU KATIBA MPYA YA YANGA ANISAIDIE JAMANI Email: wazirisnard@gmail.com
  3. Leonard Waziri

    Rasimu ya mabadiliko Yanga yaridhiwa na kamati ya utendaji

    Kamati ya Utendaji ya Yanga imepokea na kuridhia rasimu za Mabadiliko ya Muundo wa Uendeshaji wa Klabu kutoka katika Kamati ya mabadiliko Katiba na kuruhusu mchakato kuendelea kwa hatua inayofuata. Kikao cha Kamati ya Utendaji kilichokutana jana Makao Makuu ya Klabu Jangwani, chini ya...
  4. Leonard Waziri

    Nawatakia kila la kheri watani kwenye silent war in Dar

    Simba wakishinda Leo watakua wamefuvu moja kwa moja Angalia wanaomfata nyuma afu tabiri matokeo yao endapo mmoja akishida maana yake hawezi zifikia point za Simba na endapo wakidroo ndo watakua wameongeza zaidi Vita za wao kwa wao
  5. Leonard Waziri

    Nawatakia kila la kheri watani kwenye silent war in Dar

    Miongoni mwa mechi muhimu kwa kundi A kwa mtani wetu ni hii ya leo dhidi ya Al-merekh. Maana baada ya mechi hii ambayo kiuhalisia ndio ya kuvunia point na kutangaza rasmi kufuzu Hatua ya robo fainali. Ni muhimu kufanya vizuri kwenye mechi hii kwa maana baada ya mechi hii zinazofuata ni mechi...
  6. Leonard Waziri

    Mfahamu Bi. Nancy Pelosi, Spika wa kwanza mwanamke katika Bunge la Wawakilishi la Marekani

    NA COMRADE Leonard Waziri Nancy Pelosi ni mama wa watoto watano mwenye damu ya Kiitaliano aliyezaliwa na kukulia kwenye familia yenye misingi ya kisiasa. Baba yake mzazi mzee Thomas D'Alesandro Jr. alikuwa mbunge wa Maryland mnamo mwaka 1939-47 kabla ya kuwa Meya wa jiji la Baltimore hadi...
  7. Leonard Waziri

    GE2020 Wabunge na madiwani waliokaa muda mrefu madarakani wajitathmini kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020

    Na Comrade Leonard Waziri Assalam Alaikum Mabibi kwa Mabwana Katika harakati za kuijenga Tanzania yenye Uchu wa Kupiga hatua kubwa za kiuchumi na kisiasa. Naomba nitangulize maneno ya Waswahili, "KUISHI KWINGI KUONA MENGI" Kupitia Msemo huu na mingine mingi ya aina kama hiyo imekua ikitumika...
  8. Leonard Waziri

    Hongereni sana Madiwani wa Halmashauri yetu ya Shinyanga

    HONGERENI SANA MADIWANI WA HALMASHAURI YETU YA SHINYANGA Leo asubuhi kupitia Radio Free Afrika Matukio nimesikia Madiwani wa Halmashauri yetu ya Shinyanga mmeibua mjadala wa kupanda kwa Nafaka hususan Mahindi katika maeneo yetu ya Shinyanga. Nimemsikia Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri Mh. Mboje...
  9. Leonard Waziri

    Hisia na hamasa za Maandamano nchini: Mapokeo, Mitazamo na Uhalisia (Viongozi na Wananchi)

    Hii ni Tanzania ya Amani, Tuilinde Amani Yetu.
  10. Leonard Waziri

    Tuache maandamano ili tuwanyime nafasi maadui wa nchi yetu

    Hata mimi najua hakuna wa kuandamana kwa tanzania yetu ilivyo lakini Tahadhari bora kuliko kunyamaza tu mzaha mzaha mwisho hutumbua usaha
  11. Leonard Waziri

    Tuache maandamano ili tuwanyime nafasi maadui wa nchi yetu

    Tutumie fursa hii kuwaelimisha vijana waache mchezo huu mchafu.
  12. Leonard Waziri

    Tuache maandamano ili tuwanyime nafasi maadui wa nchi yetu

    Mikataba imevurugwa na kufanyiwa marekebisho na ndio inayofanya kazi hadi sasa
  13. Leonard Waziri

    Tuache maandamano ili tuwanyime nafasi maadui wa nchi yetu

    Huo ndio ukweli wa article yangu kuwa yatafanyika maandamano na yatashinikizwa na watu wenye nafasi zao za kifedha lakini hawataathirika na vurugu zitakazotokea tutaathirika sisi wanyonge
  14. Leonard Waziri

    Tuache maandamano ili tuwanyime nafasi maadui wa nchi yetu

    Na: Leonard Waziri Maandamano mara zote msingi wake huwa ni kushinikiza jambo fulani lakini shida ya maandamano ya sisi waafrika haswaa mijini huambatanishwa na mambo kadhaa ambayo nchi za nje zenye husda, Chuki na nchi husika hupitisha husda na chuki zao katika mambo hayo. Mifano kadhaa...
  15. Leonard Waziri

    Kero za jimbo la sengerema zisizoisha

    Huku ndio unakubaliana na mimi
Back
Top Bottom