Kiukweli mkuu huna haja ya kupoteza muda wa mtu kukupigia simu kwa ajili ya kuthibitisha maombi ya urafiki labda tu kama unataka simu yako ionyeshe wewe ni mtu maharufu na simu yako iko hewani muda wote ikiwasiliana na watu mbalimbali kwa maana ya( busy) ukienda buguruni au pale club ambiance...
Kiukweli hii haina maana yoyote hata ukiifikilia kwa akili ya kawaida. Dawa imefungwa kwenye kamba na wala haina uhusiano na damu wala ngozi je itamponyaje mgonjwa? Ingekuwa chanjo pengine tungesema imeingia ndani ya damu kupambana na ugonjwa. Sasa hii inamlinda mtoto kivipi wakati haigusani na...
Mkuu tusaidiane kama unao vijana wa kutengeneza website waambie nahitaji kutengeneza website mkuu wanipe gharama zote za kuanzia mwanzo hadi iwe hewani. Wanaweza kuwasiliana na mimi kwenye namba hii tukafanya kazi 0715972970
Mkuu mimi nakuunga mkono moja kwa moja nina eneo langu huko kibaha pwani naomba namba yako ili tuwasiliane siku moja nikupeleke uangalie namna ambavyo unaweza kunicholea mjengo wa kukakaa katika eneo hilo ukawatisha walio tangulia namba yangu ni 0715972970 nipe yakwako tuchape kazi
Nataka nijue kama shoza wewe ni mwanasiasa wa kweli ndani ya CCM, pia nielewe kama kweli wewe unakaa ubungo. Pengine ubungo ni kubwa ututajie mtaa gani unakaa ili tuone habari ya miundo mbinu ya maji iliyoko katika eneo hilo na tujifunze kwa miaka mingapi imekuwepo kabla ya uwepo wa mnyika...
Sasa kwanini usishauliwe akagombee ccm si kikwete anaondoka na hadi sasa hawajapata mtu wa kusimama kwenye hicho kiti. Hii ni kama kweli ana uchungu na nchi yake na rasilimali zilizopo
Hakuna kitu kinachoitwa kuchafua jeshi. Cha msingi na ambacho tunatakiwa kujiuliza ni kwamba mwanajeshi akiwa na gwanda haruhusiwi kupiga picha? Na kama anaruhusiwa ni picha za namna gani anazoruhusiwa?na kama hakuna huoanisho wa namna ya picha anazoruhusiwa na asizoruhusiwa basi kutabakia na...
Kuhusu kubenea unaweza kupata taharifa zake wizara ya elimu kama kweli anasoma nje ya nchi au uhamiaji kama alikwenda kuomba viza.ila kiukweli anayejua yuko wapi atujuze make tumemiss habari motomoto za kubenea
kuna njama nyingi za chama tawala (CCM) kwahiyo kuna uwezekano kila kitu kikawa kinapelekwa pelekwa tu lakini sina imani kama hao wanaoshabikia kihivyo kwamba wanajua madhara yake
ki ukweli viongozi wetu kutibiwa nje ya nchi ni moja ya sababu ambazo zinafanya huduma muhimu zikosekane hapa nchini.kama wangekuwa wanatibiwa hapa kwetu wizara ingekuwa tayari imesharejesha huduma hizi kwa haraka. sasa ngoja tutaendelea kupotea tu kila siku namna hii.
Mimi sikubaliani na hoja hii
Ni kweli mna joto na mnato lakini shughuli mnakuwaga hamuwezi japo huwa mnajitahidi kidogo. Na mbaya zaidi mnatakiwa kazi zote zifanyike ndani ya AC kali sana bila hivyo mtatakiwa kuwa na air freshener nyingi sana ndani ya chumba
Pole sana mkuu
Ila amini kitu kimoja kwamba majaribu yana nguvu kukushinda wewe na imani yako.
Nataka nikwambie jambo siku ya leo na ulifanyie kazi kwa umakini sana.
Mkeo na shoga yake wanafanya kazi moja.NGO anayofanya kazi mkeo ni sawa na NGO anayofanya kazi shoga wa mkeo. Kwahiyo wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.