Recent content by Lennovo core i5

  1. Lennovo core i5

    Naelekea Iraq kuchunguza kambi za kijeshi zilizolipuliwa na Iran

    Unataka ushahid upi ili uamini nipo USA
  2. Lennovo core i5

    Naelekea Iraq kuchunguza kambi za kijeshi zilizolipuliwa na Iran

    Hujaelewa ndugu, sisi hatuendi kuchunguza ajali ya ndege, tunaenda kuchunguza milipuko
  3. Lennovo core i5

    Naelekea Iraq kuchunguza kambi za kijeshi zilizolipuliwa na Iran

    Kuna team maalumu imeundwa tupo mchanganyiko, Mimi nipo kitengo cha maafa
  4. Lennovo core i5

    Naelekea Iraq kuchunguza kambi za kijeshi zilizolipuliwa na Iran

    Watanzania wenzangu niombeeni, Nawasihi nioombeni pia tuombeeni team nzima tunaoenda kutathimini matokeo ya shambulio la Iran kwenye kambi za kijeshi. Nitawapa idadi kamili ya madhara na vifo vilivyotokana na shambulio hili. Niombeeni narudia tena niombeeni. Familia yangu ipo njiani kurejea...
  5. Lennovo core i5

    Visima vya mafuta vya Lake Oil, Kigamboni vinateketea kwa moto

    Wewe unazima mkaa sio moto, naomba usiulize swali lingine naenda kuchunguza kambi za marekani zilizoshambuliwa na Iran ili nilete taarifa kamili
  6. Lennovo core i5

    Nimetubu ila doa la dhambi hii linanitesa sana

    Ndio, yy n nan a**re wenzie yeye asi**rwe
  7. Lennovo core i5

    Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

    Kwa hiyo mkuu asiyejua kingereza maanayake yeye ni kilaza? Kwa hiyo ukijua kuongea na kuandika kingereza tu unakuwa mwerevu kuliko wote
  8. Lennovo core i5

    Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

    Huo ndo ukwel, tunaabudu kingereza, Ndalichako ni professional wa hisabati, sasa hapa kuna mtu anakomalia ndalichako ajue kingereza. Tuache utumwa
  9. Lennovo core i5

    Kitete Hospitali Tabora wameniulia mtoto wangu kwa uzembe

    Huu mwaka umeanza na Wizara ya Afya. Mloganzila haijapoa Leo ni Tabora. Ummy amka ufanye kazi, tutakufa wote
  10. Lennovo core i5

    Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

    Kukariri ni kubaya sana, tena sana endelea kukomaa, nikuulize swali na nafsi yako ikusute wewe na kingereza chako umemzidi nini ndalichako?
  11. Lennovo core i5

    Baraza la Congress la Marekani laiandikia Ikulu ya Tanzania kuwa hawatasita kuichukulia hatua Tanzania kwa yanayoendelea nchini

    Ha ha ha ha haaaaàaaaaaaaaa utumboooooooooooo, na bado mtanyoka tu, hizo signature zenyewe utumbo. Kaza baba kaza huku watu wanatafuta mlango wa kutokea
Back
Top Bottom