Mbunge ni kiungo muhimu katika hamasa za maendeleo.......hivyo ni lazima awe kichocheo cha maendeleo kwa watu wa jimbo lake.
Jamaa hajawah kuja kushukuru hata kabla hajaugua.
Hivi wewe mwanamke anadai kupata mwanaume mitandaoni bado unataka apewe heshima?
Wenzie wabatutoa jasho huku mitaani yy anashinda mitandaoni kututa wanaume?
Hilo jina linamfaa sana yy na wenzie wenye tabia kama hizo.
Mimi ni mkazi wa Vunjo,kijiji cha Matala,yaani tunajuta kumchagua huyu jamaa......maji ni shida,barabara hazipitiki,tunamkumbuka Babu hadi machozi yanatutoka.
Tunatamani uchaguzi urudiwe hata kesho tumnyooshe huyu mwana Kawe aliyekuja kujificha huku migombani.
Mda utafika tu.
Mkuu hapo nimeomba samahani kwakutumia neno"HAYA MAJITU",ambapo kuna mdau alinionya kuwa co neno zuri kulitumia kwa hawa viumbe dhaifu.
Nielewe,haijaathiri udume wangu kwa namna yoyote ile.
Yaani kuna wa jirani akianza kuongea 12 jioni ni hadi 12 asbh......mume akiwahi balaa,anaambiwa leo malaya wake kamtimua,akichelewa ndo usiseme......jamaa yuko dilema kakondeana tu.
Haya makitu wakati wa uchumba yanafichaga makucha,ukishaweka ndani akaanza kuiita tv yako yangu,kitanda...
Nimeyasoma sana,wanaoona gari imepoteza muelekeo ndo hao niliowataja hapo juu.......gari ndo ina tafutiwa njia yake.
CCM DAIMA
PANGA LA ZAMANI MAKALI YALEYALE.
Mpumbavu kabisa,wanawake wanasahau haraka sana......yaani ameshasahau kuwa ALIFANYWA kutoka katika ubavu wa mwanaume?.
Hiyo VAGINA kaikuta hapo tena kwa bahati tu.
Halafu kuna mijitu inakomenti,"kweli lakini"......,nyani kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.