Fundi mahiri wa Ujenzi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 5,030
- 4,403
Huyo jamaaa hagongi safari nini?Yaani kuna wa jirani akianza kuongea 12 jioni ni hadi 12 asbh......mume akiwahi balaa,anaambiwa leo malaya wake kamtimua,akichelewa ndo usiseme......jamaa yuko dilema kakondeana tu.
Haya makitu wakati wa uchumba yanafichaga makucha,ukishaweka ndani akaanza kuiita tv yako yangu,kitanda changu,nyumba yangu,chumba changu hatakama mmepanga ndo utajua ulioa mke au speaker.