Recent content by lendomza

  1. L

    Taarifa ya CHADEMA Kuhusu Sintofahamu ya Ben Saanane, Miili saba na Faru John

    Si amini kama tamko hili limetolewa na msomi maana limejaa makosa mengi sana kwa level ya chama kama chadema!!mfano tu:hai #uhai, halafu heshima haipo kabisa :waziri mkuu # mheshishimiwa waziri mkuu nirudi kwenye maada,inakuwaje chama kinakaa kimya almost a month kukaa kimya ikiwa mtu wao mhimu...
  2. L

    Maendeleo ya vitu kwa Nassari ni muhimu kuliko utu wa mwanadamu

    jana niliona kumetokea msiba wa mtoto fulani watu wamevaliaa bendera za chama sikuelewa maana yake nini na wewe mleta maada sijajuelewa hata kitogo!!acha unyumbu wewe
  3. L

    CHADEMA zingatieni ujumbe huu

    hata nikikuliza una kuku wangapi utasema huna hata moja japo ardhi ya tanzania ni kubwa sana na mahali pa kufugia ni pakubwa!! ulitaka CCM ikujengee kibanda cha kuku?
  4. L

    CHADEMA zingatieni ujumbe huu

    ukiwashauri kudeki barabara wakati lowassa anapita hapo watakuelewa maana wako kama misukule!!!!
  5. L

    Kuna kila dalili za Lembeli kurudi CCM!

    Aje tutampokea tu!!kama DR Slaa aliikimbia chadema mtu mzalendo atabaki huko anafanya nini?utakaa na ndumila kuwili kweli?unakuwa unajishushia heshima bure?? anywhere hivi mzee mwanakijiji yuko wapi?napendaga topic zake ?kipindi cha uchaguzi nilimwona mtu wa maana saana
  6. L

    Zitto amtembelea Lema gerezani baada ya kunyimwa dhamana

    kama alikosea si aombe msamaha?
  7. L

    Baraza la wanafunzi WANACHADEMA chuo KIKUU ARDHI (CHASO-ARU), limeshtushwa na Kauli za Makonda

    nahisi huyo mama atakuwa mchagadema ndo maana kimewaumaaaa!!
  8. L

    RC Makonda ashtakiwa kwa kudhalilisha wanawake na kukosa maadili

    propaganda za kijinga NA hovyo kabisa!! tamko kama hili limekopiwa NA kupestiwa NA bavicha Aruso !!!
  9. L

    Jinsi ya kukusanya madeni ya wadaiwa sugu

    Kwanza niseme kuwa ni kukosa ubunifu jinsi ya kukusanya madeni ya wanafunzi waliokopeshwa fedha kwa ajiri ya elimu ya juu!! wafanye hivi:Kwa sababu ni sheria ya nchi kwamba kila Mwajiri NA mwajiriwa wapeleke hela kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii; bodi ya mikopo iwaendee mifuko hiyo ya Jamii...
  10. L

    Prophet Bushiri kachukua nafasi ya TB Joshua siasa za Tanzania? Rose Kitilya, Lowassa

    Ni aibu !!!!kumbe ndo maana hakuonekana kwenye misiba ya watu mhimu sana!!!
  11. L

    Nchi imeharibiwa na Utawala huu wa Awamu ya Tano, laana na itakuwa Juu ya Nchi

    Nafikiri kama kuna mtu Mwenye laana alikuwa JK Na lowassa!!walipongia madarakani mvua ilikata mtera ikakauka vibaya !!Lowassa akaja Na richmonduli na mvua ya Thailand!!! Halafu wewe kama mkristu au mwislam hukutakiwa kushabikia mabaya yanayolipata taifa letu ulitakiwa kuomba Mungu atuepushie...
  12. L

    Mh. Rais John Pombe Magufuli huyu Mungu unayetaka tukuombee kwake anakuona vizuri tu

    Wewe unamdhihaki Nani??Unamfahamu Mungu wewe?amefanya kosa gani kiasi chakuona kuwa anamdhiaki Mungu?? anayemdhihaki Mungu ni kundi linalompigia magoti lowassa Na kufikiria kuwa eti Mungu anamtendea mema pindi inapotokea wapinzani wake wamekufa!!Ni ujuha mkubwa kusema kuwa Mungu anamlinda...
  13. L

    Mh. Rais John Pombe Magufuli huyu Mungu unayetaka tukuombee kwake anakuona vizuri tu

    Hulazimishwi kumwombea!!!Hata usipomwombea wako makomando WA Mungu wanamwombea!!
  14. L

    Calexit: California wants to Separate from the U.S

    Baada ya matokeo kubainika na Donald Trump kutangazwa kuwa rais wa Marekani ,California ambalo ni jimbo lenye wafuasi wa chama cha Democrats cha Hillary Cliton kimeripotiwa kutaka kujiondoa kama mojawapo ya majimbo nchini Marekani. Kupitia mitandao ya kijamii wakaazi wa jimbo la Carlifornia...
  15. L

    Nina wasiwasi na utabiri wa TB Joshua kuhusu ushindi wa Clinton, maana mambo ni tofauti

    Tb Joshua alitabiri kuwa mh Lowassa angekuwa rais Wa tano Wa Tanzania!! haikutokea !!!!juzi kaitabiria dunia kuwa Bi Clinton atashinda urais Marekani!!haijatokea!!!Inasikitisha!! Biblia inasema nabii akitabiri jambo lisitokee nabii huyo usimwogope!!!! wako Na wengine walitabiri kuwa Lowassa...
Back
Top Bottom