Recent content by lekumok

  1. lekumok

    KERO Kutoka Kibada mpaka Mwasonga ni kilometer 18 tu, nauli inakuaje 1200? Latra mko wapi?

    Kule shamba,wenyeji hawalalamikia ila wew mgeni unalialia
  2. lekumok

    Bank ABC yauzwa kwa acces bank na kuzua taharuki kwa walioomba mikopo

    Access si iliuzwa na yenyewe kwa selcom
  3. lekumok

    Gypsum board nzuri zaidi kwa sasa

    Tumia double elephant nzuri
  4. lekumok

    Unatumia mbinu gani usipigwe na mafundi kwenye ujenzi?

    Yaani unakuta anaeogopa kuibiwa na fundi,iyo ela ya kujengea nayeye katoka kupiga mahahali.hasa hawa wa serikalini.
  5. lekumok

    Wakati nikiwa mchunga ng'ombe Hanang nilifanikiwa kujua kumbe mlima Hanang una kitambi

    Mkuu umezunguka,kumbe lengo lilikua matangazo [emoji16][emoji16]
  6. lekumok

    Changamoto baada ya kuweka tiles(vigae)

    Hujamdhulumu fundi kweli
  7. lekumok

    Introvert wanalalamikiwa kuwa wana kiburi na dharau

    Ni kweli kabisa. Mim kiburi, jeuri,kisirani na sipendi kuchangamana na watu.mda mwingi nashinda ndani tu,sina mazoea watu hapa mtaani. Ni salama then kila mtu na mambo yake. Kingine napenda sana wanyama.mtu akigongwa na gari hua siumii,ila paka au mbwa akigongwa basi hiyo siku kwangu itaisha...
  8. lekumok

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Mapenzi meengi.mwanzo alianza vizuri sana
Back
Top Bottom