Ni kweli kabisa. Mim kiburi, jeuri,kisirani na sipendi kuchangamana na watu.mda mwingi nashinda ndani tu,sina mazoea watu hapa mtaani. Ni salama then kila mtu na mambo yake.
Kingine napenda sana wanyama.mtu akigongwa na gari hua siumii,ila paka au mbwa akigongwa basi hiyo siku kwangu itaisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.