Recent content by Lekorya

  1. L

    Opinion: Kung'atuka Kwa Zitto, CHADEMA, Msishangilie, Mkajisahau, Jiandaeni kwa "Karma!"

    Kila anaejitoa kutusogeza hatua mbele, kesho wanamfanyia maigizo anaondolewa kwa kashfa, eg. El, Kagasheki, Muhongo, Mwakyembe, halafu tunawaacha wakina Malima, Nyalandu, Sofia eti ndo watendaji. Hakika tumelaaniwa.
  2. L

    Tundu Lissu: Hata gari linafanyiwa service

    Hakuna maamuz binafsi hapo uroho wa madaraka tu, na kuogopa kivuli cha Zito asietaka uzezeta wa kutumikishwa kwa maslahi ya watu binafsi badala ya chama
  3. L

    Zitto: Nitafanya uamuzi mgumu

    Nothing is impossible, but trust nobody apart 4m urself
  4. L

    Zitto: Nitafanya uamuzi mgumu

    Wote njaa zinawasumbua sio zito pekee yake, umesahau kafulila alitimuliwa na Nccr ya Mbatia, akaenda mahakaman wiki iliyofuata Mbatia akateuliwa mbunge na Rais akasahau ya Kafulila had leo
  5. L

    Kinana: Mnaojipitisha urais kabla ya wakati tusilaumiane

    RAIS MZURI ni yule ambae hakujiandaa, manake JK anatuhakikishia yeye hakuwa sahihi kupitishwa! Maana naona kama kujiandaa ni kasoro, yeye alijiandaa had akataka kuwatoa watu roho
  6. L

    Mtoto wa Waziri David Mathayo, arekodi Video chafu

    Issues can not stand without characters. Akiwezeshwa anaweza, kawezeshwa huyo mtoto. Neema ya Mungu impitie
  7. L

    Forever Living imeniachanisha na mke wangu

    Don't hate forever living, hate the behaviour of ur wife. Pole sana mwanetu, sisi tulio kwenye ndoa tunajua how hard it is, wen ur fellow change. Mbaya zaid kama hofu ya Mungu iko ndan yako kumwacha kirahis inakuwa ngumu sana kwako. Muulize Mungu wap ulipokosea
  8. L

    John Mnyika azidi kuikaba koo Serikali tatizo la Maji Ubungo, Dar es salaam na nchi nzima

    Mnyika juz kasoma post za watu humu kaona watu wanammind na issue ya maji ndo kajifanya anakomaa kumbe walewale majina tofauti. Hawana mana kabisa
  9. L

    Freeman Mbowe atoa magari ya wagonjwa Hai

    Nina waswas na hizi misaada za kipind cha uchaguz. Au siku zote pesa hazikutosha! Napita tu wanajamvi
Back
Top Bottom