kama ni kwrli tunashkuru maana nilishaingiwa na hof ya kusambaratika ukawa yetu mungu ibariki ukawa tujitokezeni kujiandikisha ktk daftar Daar nadhan inaanza kesho
Jamani mbona tabu sasa yupi anayefaa kaana huyo nilidhan hana kashfa kbs kumbe naye ana yake tuwe makin watanzania tusiangalie mazowea tusipende kurudia makosa ni bora tufanye kosa jipya kuliko kurudia la zamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.