nimecheka...te te.te..ndani ya ccm hakuna msafi kwa maana angalia pinda, maiga, bilal,..wote kamati ya maadili iliwakuta na makosa ya kimaadili....so bado wapo ccm na ni mifisadi.
Eddo ameachana na mafisadi na kwa sasa ni mtu safi...
unafini ni dhambi na mshahara wale ni mauti,( so wameondoka ccm ni wasafi) kweli shule za kata haizatoa msaada wa kutosha?