Recent content by leiguanan

  1. leiguanan

    GE2020 Maswali muhimu kwa Mgombea Urais kupitia CHADEMA 2020

    Mgombea kutwa kulalamika..labda tusubiri kampeni zianze tutaskia atakachokwenda kutufanyia wananchi.
  2. leiguanan

    GE2020 Tundu Lissu: Rais Magufuli alitoa rushwa Kibiti Mil. 5 na akanunua jogoo laki moja wakati kashapitishwa kugombea Urais. Nitamuwekea pingamizi

    Binafsi nashindwa kuelewa kwanini mgombea wa chama cha Demokrasia na Maendeleo kila akipanda jukwaani ni CCM mpaka anamaliza hotuba yake. Anatumia muda wote kuiongelea CCM na serikali yake. Tumia jukwaa kutuambia unaenda kutufanyia nini Watanzania ambacho serikali zote za CCM zilishindwa...
  3. leiguanan

    Wakati umepigika kazi gani ya ajabu uliwaza kufanya?

    Hivi mkuu wewe ni ke/me? Naomba unijibu maana kwa uhalisia wako wa ke huwa navutiwa nawe. Jibu lako litanisaidia.
  4. leiguanan

    Natafuta mmoja JF wa kunipa hii!

    Sasa mwanamke gani wa kukudekeza hivyo mkulima wa mahindi? Uwe rais udekezeke.
  5. leiguanan

    Umri wangu ni 40-45 Nakaa nyumba ya kupanga watoto wanne, nyumba yangu haiishi, mke amenistukia, nataka kumlamba card nyekundu japo hajui

    Nyumba za kupanga zina mengi saana hasa ukiwa na familia. Jitahidi muyajenge na mkeo wanawake ukiwa kwenye shida watakupigia mayowe usijue la kushika. Wote ndivyo walivyo usijidanganye ukaenda kutafuta wa afadhali.
  6. leiguanan

    Mwenza wangu ana wivu na usingizi wangu.

    Unatafuta lakini?
  7. leiguanan

    Mwenza wangu ana wivu na usingizi wangu.

    Bila shaka nimekufananisha. Una uhakika hauna mwenza anayelala kabla yako kila siku?
  8. leiguanan

    Mwenza wangu ana wivu na usingizi wangu.

    Napenda saana usingizi mkuu
  9. leiguanan

    Mwenza wangu ana wivu na usingizi wangu.

    Eehh nauliza ili twende sawa.
  10. leiguanan

    Mwenza wangu ana wivu na usingizi wangu.

    Khaa... Halafu ndiyo yeye ama?
  11. leiguanan

    Mwenza wangu ana wivu na usingizi wangu.

    Duuh...nitaua mtu.
  12. leiguanan

    Mwenza wangu ana wivu na usingizi wangu.

    Anastori huyo kama baharia... Akianza haziishi.
  13. leiguanan

    Mwenza wangu ana wivu na usingizi wangu.

    Basi huwa haulali unaegemea kitanda tu.
Back
Top Bottom